Unga unahitaji ushilikishwaji wa jamii kwa ujumla ili kuutokomeza, hao wakina chid watu walikua wanawaona tangu mwanzo lakini sasa wanashangaa mazara yake kanakwamba mwanzo hawakujua
Ugonjwa wa kipindupindu unatokana na mtu kula mavi mabichi, mtu huyo atatapika na kuhara sana kwa mda mzuri, hivyo hupungukiwa na maji mwilini na kuishiwa nguvu msipo muwahi hupoteza maisha. Hii hitaji watu kutoka halmashauli, hamka usafi unahitajika
Samahani lkn magari hayo uliyoyataja yanaumuhimu kushinda unavyowaza, na ndio dunian ya leo hauwezi kiongozi ukampa mgongo wa chura au land rover 109,kisa kubana matumizi. Kwa mawazo uliyonayo hata suti utasema anasa
Hivi kuna mausiano gani kati ya shoga na mwanamke? Mbona mashoga wengi hupenda kuiga rafudhi za kike na wengine hata kutembea wakati wanamatumizi tofauti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.