Wadau naombeni mnisaidie kuna baadhi ya Number sitaki zikinipigia wala kuniandikia SMS zinipate natumia program gani,, niliambiwa kuwa watu wanaotumia samsung galax wanaweza fanya hii kitu ila imeniwia ngumu kwa kutumia NOKIA LUMIA 620 Msaada Please.
Nimekuwa nikifuatilia maadhimisho ya sikukuu ya Uhuru kupitia TV station na lengo langu kubwa ilikuwa kumsikiliza Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nikitegemea atatuambia kitu wananchi wake lakini ameishia kuwatambulisha wageni na wacheza ngoma wa Uganda na kutuambia kuwa speech...
Kwanza nianze kwa kuwapongeza wana Jamii forum kwa michango yenu mnayoitoa katika mada mbalimbali humu jamvini kwani imekuwa msaada kwa Watanzania wengi sana Mungu aendelee kuwabariki na awape akili ya kujua zaidi mambo.
Naomba msaada kwenu madaktari na watu wenye utaalamu binafsi mlioupata kwa...
sizani kama ni donge ila Watanzania hawa ambao ni ma-great thinkers wanajaribu kufikiria mbali zaidi ambapo wajinga na wasio na upeo kama wewe hawawezi kufikiri, ulijaribu kujiuliza kwa nini Mwl hakuitwa Dkt na alibakia kuitwa Mwl. Mpaka wakati huu waleo japo ni marehemu.
kweli hii ndo kasi zaidi ya kudanganya na kuwafanya watanzania kuendelea kuwa mapunguani kwa kuamini uongo, kama mchumi na akiwa na wataalamu waliobobea chini yake anasimama kuwadanganya watanzania kwamba viwanda vipo akitaja idadi kwa kukisia, uku wakati wanaendelea kutuambia vipo wanatuambia...
Bado hawajahita Mkuu jana nilienda kuwauliza pale Benjamini towel sababu mimi mwenyewe kuna kazi moja ambayo niliomba na nina uhakika wakupata nikiitwa ntakuambia
nimetafuta sehemu ya kugonga like nimekosa ila hii nimeipenda hapa napiga mzigo na Bunge na lipata utafikiri sipo mpanda vile siitaji antena bila chenga
Sasa naanza kumuelewa japo pia sio vizuri sana kwani Mh. Mkuu wa Kaya alimuona anafaa kuwa mrithi wa Mh. Chami au ndo issue ya kuwaridhisha wananchi waone kunamabadiliko kumbe ni yale yale,,, alafu najiulizaaa mbona kamtaja Bw. Ikelleghe kawaacha wengine ambao pia walitajwa sana ikiwemo yule...
Baada ya kufanyika mabadiliko katika baraza la Mawaziri tulipata kusikia baadhi ya mawaziri wakiachishwa kutokana na kutokuwa na utendaji mzuri au kwa kuonewa kama "walivyojitetea" na Mh. Abdalla Omari Kigoda ambaye aliwahi kuwa katika Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi aliteuliwa kuiongoza...
msaada wenu madaktari naomba mnisaidie sababu zinayoweza kumfanya mtu akatoka povu na damu refer kanumba dearth cause sifikiri kama m2 akianguka tu inaweza kuwa sababu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.