habari zenu wakuu,
naomba ufahamu kuhusu hizi diploma,
1. tofauti ya ordinary diploma, advanced diploma na post graduate diploma ni ipi?
2. mtu mwenye ordinary diploma yupo eligible kusoma post graduate diploma then aende masters au mpaka asome advanced diploma?
binafsi nina ordinary diploma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.