Umeongea vizuri. Sasa tuambie, ENZI ZA UTOTO WAKO ULIFUNDISHWA KUPIKA? au ulijifunza mwenyewe na ukajua?
Je, unahisi watoto wa kiume ambao hawawekewi ratiba za kupika nyumbani hawatajua kupika michemsho kama yako?
Ukiyajibu haya kwa uaminifu utakua umemuelewa mtoa mada
Nakushauri zaa nae huyo unaempenda. Usidanganye mtoto wa mtu hapa akajitokezaakakuoa wakati moyo wako uko kwa huyo baba mume wa mtu. Mtaendelea kuwa wapenzi na huna uwezo wa kumuacha hata ukiolewa.
Maisha bila furaha hayana maana. Mke mkubwa alishafeli kukupa furaha kabisa. Endelea kutafuta furaha duniani, ila usiwekeze moyo wako wote utaumia tena.
Kuna rafiki yako alikuambia kwamba huyo mwanamke ni Primitive muache ndio alikuzibua masikio. Mtafute huyo mtu atakupa ushauri wa maana kuhusu hiyo nyumba
Sera za Lissu;
1. Kuchunga mifugo kwenye hifadhi za taifa
2. Kuweka rehani migodi ya madini ili kupata hela za kufanya maendeleo
3. Kuruhusu ushoga
4. Kutohoji mikataba ya madini kwasababu wazungu watatushtaki
5. Kuachana na uenjenzi wa miundombinu sababu maendeleo ya vitu sio muhimu. (nadhani...
Sababu ni moja tu ya msingi. Kenya wana bandari moja tu ambayo mizigo yote inapita, tanzania tuna bandari kubwa 4. tukikusanya mizigo yote tukapitisha dar es salaam haitashikika Africa nzima
Soma tena hiyo habari ya BBC uniambie umeona wapi kitu kinaitwa UPDF au kitu kinaitwa kuzuia watanzania kuingia. Au hauelewi maana ya unregulated cross border movement? Hii hata bila corona hairuhusiwi.
Kenya mnachotaka kwetu hakijulikani. Ambao wana cases nyingi za Corona mnawaruhusu. Ambao wana cases kidogo mnawaruhusu. Je, mnataka tukipima iwasaidie nini?
Inahitaji akili ndogo tu kujua kwamba tatizo sio Corona. Mnatimiza masharti ya kupewa mkopo, na hili litawaaibisha miaka mingi sana...
Duniani kuna maajabu. Watanzania tumebarikiwa kupata Rais tulienae na Wakenya wanalijua hili lakini nashangaa watanzania hawatambui hili. Kweli nabii hakubaliki kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.