Ndugu zangu,
Tunalaani matumizi ya ovyo ya nguvu za dola
Kwa mara nyingine tena, jana Jumatatu tarehe 05 Januari 2010, Jeshi la Polisi lilivuruga na kusambaratisha mkutano halali wa hadhara uliondaliwa na chama halali cha siasa jijini Arusha. Katika kuvuruga na kusambaratisha mkutano huu...
Good one Orche!! but watanzania tukumbuke kitu kimoja" To Vote for the man who promises least; he'll be the least disappointing" this guy jk
Deep down he is shallow.
A politician is a person who can make waves and then make you think he's the only one who can save the ship.
- Ivern Ball mchili hawa jamaa hawana lolote laoa ni moja tu bwana wanataka sisi tuwaone waonibora kuliko wengine kwani ccm wanachama wangapi wasiopenda ufisadi nawako kimya hawa jamaa...
Nakubaliana na wewe kabisa mzee hawa vijana waliingia kwapupa nakuwadharau waliowaweka juu sasa wanfanya kazi kiubishi tu hawakubali kama wameshafulia wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.