We all need our privacy and space, It can be absurd and beyond craziness to go to jail for checking your spouse's email. But what happened to people's privacy? I do believe even if it involves husband and wife privacy is minimum or none in some issues. And by him checking her emails he violates...
Inakuaje uchaguzi umeisha na baraza limetangazwa sasa mgao wa umeme umerudi?...Itabidi wananchi tupigie kelele hii issue. It is unacceptable kwa serikali kufanya hivi.
Hii ndio nashidwa kuelewa mtu ana Nyumba ya milioni 900 na gari la milioni 100 na kwenye account ana zaidi ya mamilioni, sasa mtu kweli anashidwa kusema mimi nitadhamini barabara sehemu flani, shule, hospitali au kitengo cha msaada sehemu flani...Umasikini hauwezi kuisha,Kisha utasikia anafanya...
Uchochezi after uchochezi....This is full of crap, when are we going to put a stop to this people...come on now!!
Tangazo limetoka clouds+watu wanapewa pesa waandamane=?? Let me put it this way 100% NONSENSE
Hizi habari za nasikia zikiambatanishwa na redio vifua zinanitia kiwewe, ilikua Kikwete sasa imehamia Ridhwani kisha mama Salma..what's next? I smell bad agendas coming from Hippie-land
thank you for stating this, jf inameanza kua huru hadi sasa watu wameanza ku-advocate violence na ku-post vitu vya ajabu. Nahisi amani yangu inachezewa sana na power ya cyber.
Jamani tunahitaji kufikiria iwe maandamano ya salama au laa, maandamano ni maandamano hakuna jambo jema litatokea zaidi ya vurugu na kumwaga damu. Tumeishi kitulivu sana na nchi nyingi jirani zainaonea wivu nchi yetu tanzania. Tumetoka mbali na tunakokwenda mbali, napenda maisha yangu na...
The European Union Observation Mission has called on Tanzanians to respect the outcome of the election in a bid to maintain and consolidate existing peace in the country.
Unveiling its preliminary election-observation report in Dar es Salaam yesterday, the mission said the campaign and...
Jamani kwanini siku zote tunakua na mashaka? Kama ingekua Maalim Seif hajapewa madaraka mgesema CCM imeiba kura, amepewa madaraka kwaajili ya kudumisha Zanzibar na wanaanchi wake na kutengeneza serikali ya mseto sasa imekua habari ya kuafaka. What is this people, why can't we get along na tuwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.