word bro,ukubwa dawa umeongea through experience kuretain status ya kiume kuna gharama zake.
Ila lazima jamaa abadilike kama hataweza kuwa na msimamo ataendeshwa maisha yake yote. wanawake hawabadiliki wanabadilishwa.
Point!!! if u can free up ur mind unaweza kujua ni mchezo wa wenye nguvu kwa interest zao wenyewe.
Hata kidogo hatuwezi kujua kitu kama tukiwa nyuma ya imani zetu. Gadaffi amefanya yake ya kutosha kwa nchi yake,tumuombe mungu tupate kiongozi mwenye uzalendo atakaeifanya tz nch ya maziwa, sio...
Now its tupambane na umaskini,ujinga,maradhi na udini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Fungu la kukosa sie in the middle of poverty bado tunaangaliana kwa ukristo na uislamu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.