Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake apewe, huyu Baba anafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu sana.
Nimekua napita hili eneo kila siku asubuhi na jioni kwenda kwenye mihangaiko yangu, ukiona siku ambayofFoleni haisogei katika mpangilio wa kueleweka jua siku hiyo sio yeye anaongoza magari...
Humphrey Polepole
Samahani sana tena sana ila nahisi ni roho wa Mungu amenituma nikuletee ujumbe.
Nakuomba angalia nafsi yako Jitathmini tena.
Nilitamani sana kaka/Baba yangu ujumbe huu ukufikie kwasababu najua upo humu unafuatilia kila linalojadiliwa.
Barua yako ya leo kuhusu andiko...
Mashostito na Masela ni kiwanja kipi kinabamba kwa leo hasa maeneo ya kinondoni. Fourways Park nimeshapachoka hata governors nimeshapachoka.
Papichulo nehii, Break-point pale napo nimepachoka.
Mbali na hizo hapo Juu waungwana wapi panabamba siku za Ijumaa
hey guys! i bought a chineese phone from karikoo and someone configured internet for me and i paid 5.00/= now imepkata tena hata nikiweka bandle zii.
naombeni msaada
I hope wale wa kupokea Tar 5 bado mnazo. sisi wa tar 25 tulishamaliza kitamboooo!!!!
ijumaa hii inakuweje sasa? kwani serikalini wanalipaga mishahara tar ngapi?
hakuna wazee wa kat bar humu coz walichota mahela mengi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.