Sema kuna vitu umechanganya Naona kama tunawasingizia sana.
1. Kuhusu kufungua akaunti, kwa benki ya CRDB ime improve kwa kiasi kikubwa
a) unafungua akaunti kwa mawakala sio lazima ufike bank.
b) unafungua akaunti kwa namba ya NIDA sio lazima uwe na kitambulisho wala picha .
2. Kuhusu swala...
Hii ngumu sana jambo kwa ujeuri linaweza kufanyika ila ni ngumu kupinga diplomacy relationship na taifa kama marekani ukizingatia ww ndo taifa chipukiz
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.