NIPO SALAMA ndugu zangu Baada ya TUKIO la KUWATOROKA Waliojiita POLISI, Pale Landmark Hotel, Ubungo, Dar es salaam. "Kama Magaidi Wanakamatwa kwa namna ile, Nadhani kuna shida kubwa kwa Vyombo Vyetu Vya dola. NITAELEZA kwa kina but in brief
Nikiwa na Kikao Kazi Landmark Hotel,Ubungo,Walikuja...
Hakuna Robot wala Robert ndio imetoka hiyo bandari inaendeshwa na mabinamu tuwe wapole tu ....nasikia wanataka wapewe Mwendokasi na SGR pia wamesema itakua kama Dubai
Hili suala la Bandari tatizo tumeingiza sana siasa ndani yake lakini Meli inaweza fika Dar mapema ikacheleweshwa kupangiwa siku ya kushusha mzigo kiasi kwamba kufika inaweza chukua wiki 2 au 3 halafu ikasubiri tena wiki 3 hadi 4 kupangiwa kushusha mzigo.
Tanzania jamani sijui ni nani katuloga...
Haiwezekani TANESCO mkatuambia kwamba hizi mvua zote zinazoharibu mashamba ya miwa kufanya sukari iuzwe 5000 kilo eti haziingii kwenye bwawa la kuzalisha umeme, kweli?
Hivi mnatuonaje? Marehemu Magufuli alisema mliwahi kuchepusha maji yasiingoe Bwawani si ajabu tena mmerudia huo mchezo maana...
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa...
Kutoka kwenye mtandao wa X, Akaunti ya Lisa Ildephonce (@LIldephoce)
โTarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat Aron ambaye ni Police pale Ufundi (Kilwa Road) cheo Kopro
Kifo chake kilitupa mashaka kutokana na...
Watu wawili Wakazi wa mtaa wa Majengo, kata ya Vingunguti, wilaya ya Ilala, Dar es Salaam wamefariki baada ya kupigwa risasi jioni ya Jumatano, Desemba 27.2023. Akizungumza na Jambo TV leo, Ijumaa Desemba 29.2023 Kaka wa mmoja wa marehemu hao aliyejitambulisha kwa jina la Omari Shomari ambaye...
KAMANDA wa Polisi mkoa wa Songwe, ACP Theopista Mallya amewataka wafanyabiashara wakubwa wilayani Songwe kuchukua askari kwa ajili ya kuwasindikiza wanapokuwa kwenye shughuli zao za kwenda kuuza madini na kuchukua hela na kupeleka hela banki ili kuepuka kufanyiwa uhalifu wanapokuwa njiani.
ACP...
Kikosi kazi kutoka kwa kampuni ya serikali ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) kimefika Dar es Salaam kufanya ukaguzi kamili wa biashara na kiufundi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania-Zambia (TAZARA) kabla ya China kuichukua rasmi.
CCECC inaendesha mazungumzo ya makubaliano...
Huyu Askari anafahamika kama Majura yupo Kota za FFU Mombasa karibia na shule ya msingi.
Nae alikuepo kwenye kikosi kinachovamia bar na bunduki kutafuta mabinti wanaojiuza.
Huyu Askari huwa yuko chakari (kalewa) muda mwingi wa kazi na hata boss wake wa Mabatini anajua na hajawahi kumchukulia...
๐ฅ๐๐ฉ๐๐๐๐๐: ๐๐ผ๐ ๐ง๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ฎ ๐๐ถ๐ด๐ป๐ฒ๐ฑ ๐ฎ ๐ฐ๐ฟ๐ฎ๐๐ ๐ฑ๐ฒ๐ฎ๐น ๐๐ถ๐๐ต ๐ฎ ๐บ๐๐๐๐ฒ๐ฟ๐ ๐ฐ๐ผ๐บ๐ฝ๐ฎ๐ป๐ ๐๐ผ ๐ผ๐ฝ๐ฒ๐ฟ๐ฎ๐๐ฒ ๐๐ต๐ฒ ๐ฐ๐ผ๐๐ป๐๐ฟ๐'๐ ๐บ๐ฎ๐ถ๐ป ๐๐ผ๐๐ฟ๐ถ๐๐ ๐ฎ๐ถ๐ฟ๐ฝ๐ผ๐ฟ๐
The government announced today that Kilimanjaro International Airport (KIA) will finally be handed over to the state-run Tanzania Airports Authority (TAA) tomorrow, but the real...
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)
RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:
1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.