Wadau habarini za asubuhi
Kwa yeyote mwenye uelewa wa UDUKUZI, asaidie kumgundua mdukuzi (hacker) anae dukua taarifa za mawasiliano yangu na kujua sehemu (location) zote ulizopo,naomba msaada tafadhari
Na kama kuna application ya kmzuia mdukuzi pia si mbaya nikasaidiwa.
Ingekuwa ni AIBU kwa MAHAKAMA kumuidhinishia USHINDI WASSIRA ilingali ALISHINDWA kihalali. LEMA kayataka mwenyewe. Wanasheria wake ni makini sana ila awamu hii wamekutana na sheria zilizojuu ya MAKOSA YAKE
Acha ASOTE. Akitoka utaona kama atarudia tena.
(Adhabu ya mkwepa kodi mkubwa nchini China ni kupigwa risasi na kufilisiwa, lakini kwa Tanzania unapewa siku 7 kulipa bila adhabu yoyote).
Kwa MIHEMKO mlio nao, akipigwa MBOWE RISASI kungekalika? Au huwa mnajisahaurisha kama mkuu wa UFIPA ni mdaiwa SUGU?
Sina chama, na s mfuata mkumbo. Ila najua kusoma , kuandika na kutafakari. Ulitaka nicopy vyote ulvyovsema?
Nmekpa hako ka mfano ka GARI coz mawazo yako unataka UTAFUNIWE na UPEWE.
CDM, Wanahoja gani?
Wanapambana na RAIS ili RAIS awe chini yao?
Walkmbia BUNGENI na KUJIFUNGA PLASTER mdomoni. Ulitaka RAIS aingilie? Kosa au SHERIA gani ilikiukwa mpaka waanze kupambana na RAIS?
Hawana HOJA hao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.