Kuna wakati nikisikiliza matangazo ya vifo kwenye radio huwa nashindwa kuelewa watu wanamaanisha nini. Mfano, utasikia mwajuma ndalandefu wa Mbagala anasikitika kutangaza kifo cha babu yake kilichotekea huko Mkuurombo na mazishi yatafanyika Mkuurombo. Mipango ya mazishi inafanyika leo saa----...
mie kwenye haya mambo ya teknolojia si mzoefu sana, nataka kununua hivi vilaptop vidogodogo, ktk window shopping niliona hp, dell na sumsung (2gb ram na 320gb hard disk kwa zote), ktk hiz ipi ni imara? ukinipa na sababu itakuwa vizuri pia (kwa level yangu ya IT specification naishia hapo, kama...
1) Jana asubuhi nilipata taarifa ya msiba wa mmoja wa madereva wetu hapa ofisini, ndo tunajianadaa kumpeleka kwao miono leo kwenda kuzika saa 10 jioni
2) Jana kwenye majira ya saa 5:30 ucku nikapata taarifa nyingine, ni rafiki, boss wa zamani ambaye alihamua kuacha kazi za kuajiriwa akawa...
Mtoto kamuuliza Mama yake: "Mama wewe unatumia Voda na Baba Zantel, mbona usiku nilisikia Baba anakuomba Tigo ukamwambia asugue taratibu, nani ana Line Mbili?!"
Hi friends
Kwenye Computer / Simu yako kuna picha za aina gani? Watoto wako wanakuombea nini?
TEACH YOUR KIDS HOW TO PRAY
"Dear God, this winter please send clothes to all those poor naked ladies in Daddy's Cell phone and computer, and build shelter to the homeless men...
Kwa mujibu wa historia niliosoma o-level na shule ya msingi pia, dini ililetwa na ndugu zetu wazungu enzi hizo,
swali langu ni hivi, wao waliotulea dini ndoa zao hazina ugumu kwenye divorce hata kama ni za kanisani, sisi tuliopokea dini tunakomaa na "alichokiunganisha Mungu mwanadamu...
IN A CERTAIN VILLAGE, NEAR CONGO FOREST LIVED IN FIVE PEOPLE UNDER ONE HOUSE,THE 1st ONE CALLED NO BODY,2nd SOMEBODY, 3rd MAD,4th BRAIN an THE LAST ONE WAS KNOWN AS FOOL, NOW ONE DAY HAPPENED THAT NOBODY STOLE SOMEBOBY'S WIFE, WITH GREAT ANGER SOMEBODY BEAT NOBODY TILL DEATH,.MAD SAW ALL...
TANZANIA!!!
TANZANIA
The only country whose soccer players play BUT do not win!!
The only country where a Mzungu comes with one dollar and leaves with millions of them!!
The only country whose engineers build but the houses collapse prematurely!!
The only...
Katoto kamoja siku moja alimuuliza bibi yake wa miaka 94.
"bibi... kwani we kuna mchumba?"
Bibi akajibu "mjukuu wangu, mchumba wangu ni tv, ndio anaenipa furaha na kuniondolea mawazo"
Sasa siku moja tv ilikuwa inaonyesha chenga chenga... Bibi akawa anaipiga piga/gonga gonga ionyeshe...
Mume na mke walienda kwa mshauri kuhusiana na matatizo ya ndoa yao. Walipofika, mwanamke akaanza elezea kwa muda wa dakika 15 kuhusu kero azipatazo.
Alipomaliza, mshauri akanyanyuka kwenye kiti akaenda akamshika yule mwanamke kwa kuonyesha anamjali, akambusu hapa na pale. Yule mwanamke...
Soseji...
Waskhaji wawili walikuwa na elfu mbili tu na pombe wanaitaka. Mmoja akaichukua na kuingia duka la soseji akaitumia yote wakaanza safari ya bar.
M: Ona sasa umetumia buku mbili yote hata soda hatupati
N: Tulia kijana nna plan kichwani we pata bia tu. Wakaendelea tu pata bia...
Mchungaji akiwa katika pitapita zake za kuombea katika wodi za hospitali fulani, akakuta kuna Mgonjwa aliekuwa hawezi kuongea japo alikuwa na fahamu na aliwekewa oxgen.
WAKATI AKIOMBEWA, yule mgonjwa akachukua kalamu na karatasi, Akaandika haraka haraka na akampa yule Mchungaji ambaye badala...
Wanandoa walikorofisha ikawa hakuna kuongea ndani ya nyumba, kila mmoja akihitajia chochote kutoka kwa mwenzie inabidi amwandikei karatasi aweke mezani, kwa upande wa sex waliacha kabisa.
Siku moja mwanaume akapata safari ya nje ya nchi na anatakiwa aondoke saa 12 asubuhi kuwahi airport, as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.