Cyanide ni normal consumable kwenye modern mining ni kweli ina madhara sana kama haitakuwa handled vizuri!! Si kitu cha ajabu sana kwa hiyo kusiwe na upotoshaji katika hili.. Hii bidhaa ina fall kwenye category ya highly controlled goods kwasababu inaweza kutumika kutengenezea biological...
Wadau ninatafuta toyota altezza/lexus ambayo iko imported but haina namba (probably from show roo,). Iwe na sifa zifuatato:-
iwe na rangi nzuri either nyeusi au blue.
iwe na real spoiler na body kit.
iwe na reasonable milage.
iwe na hali nzuri sana ndani na nje.
kama imesajiliwa basi isiwe...
Ninahitaji nyumba ya kununua iwe sehemu reasonable kama tabata, bagamoyo road mwisho boko..Iwe na vyumba vitatu na fensi au sehemu ya kujenga fensi kupaki hata gari 2 ndogo. Iwe na hali nzuri au iwe ktk standard ambayo mtu unaweza kukarabati. Isiwe na mgogoro wowote kama vile ardhi au...
LUSAKA, Zambia (AP) - February 7, 2013 (WPVI) -- Police in Zambia say at least 51 people have been killed after a bus crashed into a semi-truck north of the country's capital of Lusaka.
Police spokeswoman Elizabeth Kanjela said the crash happened Thursday morning at Chifamba, a town about 100...
Wadau,
I am interested to get someone who will be ready to do a tradeoff between house and plot for an exchange with additional of money.
I have a plot with clean tittle deed (99 yrs) at BUNJU A approximately 1 km from Bagamoyo road with 705 sqm.Very nice corner plot, accessible by 3 sided...
Wadau nina deal ya kubadilishana kiwanja nyumba.mimi nina kiwanja with clean tittle deed of 99 years 700 sqm kipo bunju a, just short distance from bagamoyo main road.kipo kwenye kona kwa hiyo kinafaa kibiashara has kwa kujenga frames na nyumba standard ya kuishi.
Ninahitaji kubadilishana na mtu...
WEZI WENGI NI MOTORWORLD,hawa ndiyo wameingia na mitini kabisa....hata website yao imepotea..wamefanya dhuruma kubwa sana..siku huzi hata ubalozini kwao hawasaidii kama una hiyo issue wanakuambia nemda wizara yenu ya mambo ya nje kawaambie halafu wenyewe watawasiliana na sisi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.