Search results

  1. inspector laddy

    Mbeya: Akamatwa kwa kuwauzia watu nyama ya Mbwa

    wale tu haina madhara tena naskia ni watamu!!
  2. inspector laddy

    Ndoa inavunjika kimzaa mzaa hivi karibuni

    kudumu kwenye ndoa ni kipaji atiii!! bi dada hovyooo!!
  3. inspector laddy

    Mwanaume wa namna hii awekwe kundi gani

    heheheeee!!huyo baba ana chembechembe za kike anataka ale tu bila kutolea jasho!!mi ningekua bi dada na pete ningeuza kabisaaa!!
  4. inspector laddy

    Asante mpenzi wangu wa zamani

    dear x mwanaume kua mmbea haipendezi!!pole masai dada!!
  5. inspector laddy

    Wanaume wasioelewa somo

    we naeeeeee ungechukua cm kwani ulimuombaaaa??
  6. inspector laddy

    Mwizi mwenzangu kalia machozi kwa wivu

    mwizi anumia wakati yy pia jambazi!!
  7. inspector laddy

    Jf ladies please kiss me !

    muuuwaaaaaaaaa!! nishakukis!!
  8. inspector laddy

    Mtu mzima kuitwa BABY na mpenzi inanichefua

    Tatizo ni pale mtu mzima unapoitwa baby afu unaitika,heheee na kujiona unapeeeendwaaaaa lol
  9. inspector laddy

    Kwa Wenyeji wa Arusha huu ni ushirikina au ni nini?

    Hiyo ipo kwa wapare zaidi,na chungu kikivunjwa wahusika wanaipata
  10. inspector laddy

    Wanawake walikuwa zamani

    Kweli wanawake zamani,cku hizi midume ynyw ishakua wanawake,nyie mnategemea nini?mtuwache tupumuweeeee
  11. inspector laddy

    kwa nini wanawake huficha kama wameolewa?

    hata kibamia kuna ujuzi wa kukitumia mleta mada atakua hawezi mavituz kabisaaa nani atakubali kupakwa shombo,wanamuacha kijanja!!
  12. inspector laddy

    kwa nini wanawake huficha kama wameolewa?

    heheheee!!una maneno wewe mi thijathemaaaa!!
  13. inspector laddy

    kwa nini wanawake huficha kama wameolewa?

    umeona eee!!wanamtaftia sababu sijui anawaokotea wapi
  14. inspector laddy

    Amina hadi leo sijajua kilichokufanya unilipe hili

    Ulitaka iwe fupi kama akili yako ilivyo kutuma u Quote story yote hiyo?
  15. inspector laddy

    Mauaji ya Sister ni matokeo ya Kanisa kukwepa wajibu wake!

    Kwani link ni nn,c hata ww unaweza andika tu,upuuzi,na katoliki hua hatupigi kelele,hakuna linaloshindikana kwa mungu bana
  16. inspector laddy

    Mauaji ya Sister ni matokeo ya Kanisa kukwepa wajibu wake!

    Huyu dada na link zake,hajui kua hizo link wanaweka hao hao binadamu wnye chuki na ukatoliki?mtu yeyote anaweza andika chochote sujui hajielewagi au hafikirii,ukienda mmu na malink yake,cc na malink,any tym anapiga vita ukatoliki atauwezea wapi?asome waefeso 6:10-15!anachota maji baharini...
  17. inspector laddy

    Ukitaka kujua penzi lako limechacha

    Mi nmejibiwa"najua ni hela unataka!
  18. inspector laddy

    kwa nini wanawake huficha kama wameolewa?

    huenda shoo yako ya kitoto!hua wanatafuta sababu ya kukuacha!
Back
Top Bottom