Tanzania inamhitaji mtu atakayesimama katika falsafa za Hayati Luck Dube, kama utahitaji kusimama katika haki na kweli, kubali kusimama peke yako. Utegemezi ni mdudu atakayetumaliza. Anyway all ears are upon the media kujua hatma.
Katika dunia hii iliyotawaliwa na mfumo onevu wa kibepari tuwe makini sana ktk mahusiano yetu na nchi za magharibi kwani ziko tayari kulazimisha mahusiano hata kwa ku recommend positive ili watunase.......loook very(angalia sn)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.