Hivi kama Rugemalila ameamua kuniwekea kwenye akaunti yangu, kwa mapenzi yangu mwenyewe; NIZIKATAE? Wengine walipewa tu jamani. Wengi wao, wahaya ambao ni jamaa zake. So, wengine siyo rushwa!
Jamani, kuna mtu alishawahi kuonya dhidi ya kukosoa sura za watu. Hayo ni maumbile ambayo Mungu mwenyewe ameyaweka. Weye unayemponda Wasira, hebu weka picha yako tuione. Si ajabu unafanana na NDEZI. Mie ni CDM damu na huwa sipendi hoja za Wasira. Lakini, hebu fikiria mkewe na watoto wake...
Nimewahi kuambiwa kwamba, ubalozi hautolewi kama zawadi kama bwana mkubwa anavyofanya. Nimeambiwa kwamba kiutaratibu, mtu anatakiwa awe amefanya Wizara ya Mambo ya Nje na awe anapanda vyeo vya u-diplomasia Grade III, II, I, n.k. Sasa huyu jamaa anateua vyovyote! Tusaidieni wataalamu. Au hata...
Chama cha Mapinduzi bwana! Huwa hawana dharura eh!? Kwa nini hawakumtoa mara tu baada ya uchaguzi? Wapo slow mno...na huu u-slow slow ndiyo unaowaumiza!
Kumaliza, anaweza kuwa amemaliza chuo kikuu. Hakuna uhusiano kati ya Digrii nyingi (ukiondoa linguistics) na lugha. Mbona kuna 'ma-lecturer' kibao hawajui kiingereza? Kinachotakiwa hapa Tanzania, ni juhudi binafsi za kujifunza lugha za nje, kwani tunatumia sana Kiswahili. Ila kutumia Did badala...
Mkuu,
Nimependa sana maoni yako. Yamekwenda shule. Hata hivyo, tusi'justify' uvivu wetu wa kutojifunza lugha za kigeni na masuala mbalimbali ya kimataifa, huku tukijilinganisha na wengine. Tujitahidi sana tusome kila siku, kila wakati na kujifunza lugha zote kwa ufasaha.Kuna watu wengi ambao...
Naomba kuuliza. Ukiwa Waziri, ukaingia Wizarani, ukaanza kusimamia sheria ulizozikuta, unakuwa umekosea? Yaani hata sheria ulizozikuta ni lazima ukaulize baraza la mawaziri? Hapa naona mtoto wa mkulima amechemsha. Pili, hivi ukiwa na wakubwa lazima uongee? Yaani Magufuli anawalaumu Chadema kwa...
Umeandika vizuri, lakini umeanza vibaya! Kuna mtu anaamini kwamba dini ndiyo kuwa na uwezo au kutokuwa na uwezo? Mimi naamini kabisa aliyeanzisha mada, hakuwa anafikiria hivyo. Wanaofikiria hivyo ni wale wenye mawazo finyu kama yako!
Ambacho sijakielewa ni kimoja tu; wa-Kenya wame-advance sana kuliko wa-Tanzania? Yaani fikra zao, matendo yao na mienendo yao ni bora kuliko waTZ? Mbona walichinjana baada ya matokeo ya uchaguzi uliopita? Mifano ya wavivu na wapenda shortcut kama Rutaihwa ipo Tanzania tu? Kwani Kenya hakuna...
Mwacheni agombee aone maajabu. Watu huwa wanaamini kwamba CCM itashinda daimaaaaa! Hivi ujasiri huo wanaupata wapi? Watu kama hao watashangaa matokeo ya kura 2010.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.