Kijana aliyemaliza form six (fresh from School) anafundisha VIZURI sana.
TUITION TUITION TUITION
ADVANCED LEVEL FORM V&VI
SOMO: ADVANCED MATHEMATICS
MLETE MWANAO NA HUTAJUTIA
MAHALI: KITUO CHA BUCHA (KWA MSABAHA) BARABARA YA WAZO KUELEKEA MADALE. MTAA WA CHELSEA.
TUITION INAANZA ASUBUHI SAA 2-...
Wanafunzi Wa IJA ambao 80% ni watoto Wa masikini walishalipa ada shilingi 594,000 (1st installment) Novemba, 2021.
Cha kushangaza na kinyume na taratibu wamepewa notisi ya wiki moja kulipa 2nd installment shilingi 415,000 kabla ya 02/12/2021 vinginevyo watatakiwa kuahirisha mwaka Wa masomo...
Malalamiko yanawakumba asilimia 80 ya wanafunzi wengi wao watoto Wa masikini, kwani ada (2nd installment) hutakiwa kulipwa January ya kila mwaka kabla ya mitihani ya mwisho (semester exams).
Jana ghafla wamepewa tangazo la notisi ya wiki moja kabla ya mid term exams inayoanza 02/12/2021.
Wadau nina mtoto anaenda form five PCM, mimi mzazi natakiwa kumnunulia vitabu, ninachojua ni Nelkon kwa physics. Je, vingine vizuri ni vya aina gani wakuu?
Mimi binafsi nimesoma Tosa kuanzia form one mpaka six 1988-1994. Sijawahi kurudi tena, lakini enzi hizo headmaster alikuwa Mr Mpogole a.k.a. dudu (R.I.P) shule ilikuwa nzuri sana. kupitia jf nadhani tunaweza kukumbukana na kujikumbusha mambo mengi nawamiss watu wengi ile mbaya! Maswala ya mbeta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.