[emoji2955][emoji2955][emoji2955] so yale ya gaza uliyaona kutokea mahali yanayorushwa mpaka yalikofika..
Yaan una question integrity ya vituo vyote vya dunia nzima na technolgy zao kaka hebu kuwa serious .. kwa hiyo Unataka Kusema Hakuna
Kombora Zilizorushwa so Iran na Israel na washirika...
Kaka hv unachuki na wapalestina ama.. yaan unaimba humu Hamas wameshinda hv unajua madhila wanayopata wapalestina.. wamelundikana kwenye tents vyakula vya mgao.. we unaimba eti wameshinda vita.. we unakuwa kama hao viongoz wa hamas.. wajo
Qatar wanaimba ngonjera
Wameleta vita za kizaman .. vita...
Mh unarusha kombora 300 from all angle halafu unasema hutak yalete madhara basi si yangerushwa baharin maana wote tunajua kuwa mazoez ya makombora yanarushwaga baharini kuepuka athari..
So hayo makombora yasingekuwa inteecepted yasingeleta madhara sio?...
Ndo nimeshangaaa eti urusi mtetwz
Wa nchi maskin.. point yake eti african tulipigana vita kwa kutumia AK47 za mrusi..
Hv ukipewa msaada wa silaha bure ndo umetetewa?
Hajui kuwa ulaya yote ni wanyonyaji wanaiona Africa kama Shamba la Urith same as Asia
Utofauti uko kwenye nguvu ya kuchuma...
Mzee wangu Mohamed Said naomba unifafanulie
Je unamaanisha katika jamii zote za tanganyika ni jamii ya wachaga tu ambayo historia yake iliandikwa kwa ukweli bila kufichwa kuwa walishastaarabika kabla ya wakolon kufika?
Ila mkoloni huyo huyo alipofika pwan akakuta kumestaarabika na watu...
Mkuu hujanielewa.. Amri Kumi aliziandika Mungu kwenye Tablets.. hizo Amri kumi unaziona kwente biblia ni copy ya kutoka kilichoandikwa kwenye tablet.. ingekuwa tablet bado zipo ndio ungesema ni tablet takatifu... ila Amri za Mungu zilowekwa kwenye tablet na zikafundishwa kwa israel kupitia...
Tatizo wanadam mna mihemuko hivi unadhan Mungu anahitaj kupiganiwa.. yaan Mungu alieumba kila kiumbe kinachopumua eti atetewe na wanadam.. jua kuwa Mumgu wa kweli haitaji kutetewa. Na mtu.. yeye alitoa mwongozo kuwa tenda mema utapata thawabu zake.. kengeuka basi utahamia upande wa pili..
kama...
Kaka hilo gawio la 2m kwa dec ni la mwaka au la mwez... something does not add up.. maana kwa 129m kwa mwez utapata a maximum of 125k kwa mwez...maana yake ni kati y 9% had 12% kwa mwaka
Sasa nataka kujua hiyo 2m kwa uwekezaji wa 129m inawezekana vip...
Labda wote ni athlets .. wasakata kabumbu au wafukuza upepo maana bi kwenyw michezo tu ndo umri unaonekana changamoto...
Nafikiri mtoa mada akafanye tena utafuti habar yake inajikanganya yenyewe
Unajuaje usikute ndo king makers hao.. kama ushawah kusoma au kuangalia The GodFather.. au ungekuwa unajua michezo ya siasa na utawala ungejua kuwa namba moja haimaaniishi ur most powerfull person.. labda kwenye enzi za tawala za kifalme ila sio kwa hiki mnachokiita demokrasia
Unaweza ukawa...
Sasa tushike lipi mwana ccm
Mwenzie kindaki ndaki Pasco Mayalla anasema chadema wamepanga kote mikochen na ufipa na anajuwa wamiliki wa sehem zote had bei ya kodi
Mwenezi anasema jengo ni la chadema sema
Pesa katoa mama.. mna tumix mjue
Kuna sehem moja inaonyesha pia bado wewe unaweza kuwa sehem tatizo.. unaposema kuwa unaona vingoz watataka watu wajadili katiba huku ukisema kuna jambo la kujadili ikiwemo goli 5 walizofungwa..
Yaan unataka mkutano mkuu wa club ujadili ilikuwaje kufungwa goli tano?
Kufunhwa lilikuwa swala...
Mtoa mada binafsi sidhan kama
Kuna mkristo yoyote ambaye anajua ukristo akakubishia .. nahis labda umeleta hili aidha kutaka Kuhalalisha au unataka kubalance mizani sababu Mtume Muhammad (SAW) nae alioa binti wa miaka tisa..
Labda nimwambie kuwa Kiutaratibu wakristo wametenganisha tamaduni na...
Kaka unaweza kutuambia
Makubaliano yalikuwa ni nini.. maana urusi alitaka ku annex Ukraine so ina maana Zele
Alikuwa amekubali ku step down na Urusi aweke pro russia presidaa pale au? na in return yeye zele na hao kina france turkey na germany wangepata nn..?
Na kama boris na wenzie (...
Leo umeongea kama msomi mwenye uelewa wa mambo ya dunia kwa mapana..
Nilishasemaga huku tunachukulia haya machafuko kimihemuko ya kidini, kisiasa na kirangi ya ngozi.. yaan tumejiweka pale ambapo hasa hawa wakubwa wanataka tuwepo..
Ukiona UK nawashirika wake wanaruhusu vita na wanailea ujue...
Hivi hii kauli ya Taifa changa ina maana gani.. huo uchanga uko wapi.. maana kwa Africa ukiniambia taifa Changa walau tuwape sudani ya Kusini waliopata uhuru 2011 maana hata hao Eritrea waliopata uhuru 93 sio wachanga washavuka huko..
Yaan taifa lina miaka 60 unaita taifa changa.. 50 yrs ago...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.