Kuna jamaa wawili walichelewa kurudi makwao, sasa ilipofika usiku mkubwa, ikabidi wakubaliane kuondoka usiku huohuo kwa kupitia njia ya mkato ya maeneo ya makaburini, Walipofika maeneo ya makaburi wakamkuta mtu anakimbizwa na vibaka, ikabidi watumie mbinu ili wale vibaka wasiwadhuru,
JAMAA 1...
Kuhusu swala la umeme kuwa janga la kitaifa, ni kitu kilichosababishwa na serikali yenyewe kwani watendaji wake wameshindwa kufikiri mapema
na kutafuta suluhisho la kero hii. Tumepata tabu kiasi cha kutosha kwa sababu ya watu wachache wenye madaraka wanayoyatumia vibaya.
Kama ni kukosa mafuta...
we ritz hujui uliko, na ninafikiri elimu yako ni ndogo sana ndo maan huwezi kupambanua mambo,jitahidi upate uelewa wa mambo ya siasa ndio uandike mambo ya maana humu. pia nashindwa kuamini kuwa hujui hali ya taifa letu hivi sasa,kwani inawezekana wewe ni kama siyo fisadi,basi utakuwa una...
wabunge wengi wa ccm ndio wanaotoa kauli za kejeli bungeni, na ndio wanaodai wanazijua kanuni za bunge,katibu wa bunge alizungumza as if hana habari hiyo.
wanashindwa kufanya kazi za bunge,wanafanya kazi za chama wakiwa bungeni.
mara nyingi dr. slaa ana uchungu na watanzania wanaoteseka walio wengi,kwa hiyo anachokifanya ni sahihi na anatimiza wajibu wake kama katibu wa chama.ccm inajenga historia ya kushindwa katika kila jambo lenye maslahi ya wananchi,ila kinafanikiwa katika maslahi ya waliowachache ambao ni mafisadi...
yes.kusema kweli ni democrasia ya kweli.mtu kama anafaa lazima tukubali,na pia tuwaambie watu wengine pia kwamba jamani fulani anafaa,siyo kutoa matokeo ya kura za maoni ambazo hazina mbele wala nyuma,tena nahisi kuna rushwa katika hilo la kura za maoni.
we acha tu bwana kwani nadhani dr slaa ataleta mabadiliko zaidi ya mavazi kwani ni mtu makini,hatadanganywa,ataheshimika na watendaji wake wa chini na wananchi watavunza matunda ya nchi yao.
kweli bwana,yaani nimeshangaa sana kuwa bado tanzania tuna watu wa ajabu kiasi hicho?ila mimi naamini ni wakati wa kubadilika na watu wanatakiwa wajue hivyo.
kura za slaa ziko palepale kwani ni haki yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.