Wapopo huwa hawatupani mkuu. Sisi ndiyo wajinga tunalostishana sasa sijui ni roho mbaya au ni vipi? Ni bora mtu umwambie mtu hali halisi kuliko kumdanganya wakati uwezo wa kumsadia huna.
Pole sana mkuu. Huyo Mudy White fala sana... Mimi niko Europe na nimeshasadia watu waliotoswa kama wewe. Jamaa walikuwa wanawa-promise mambo kibao wakishaingia wanawakimbia.
Yaani Enterprise Resources Planning (ERP) ni 30M usd tena ya kukodi? Wakati wangeweza kutengeneza watu wa IT nchini. Hata sisi tuna uwezo wa kutengeneza hizo na CRM ni ufisadi
''Wiki hii kampuni yetu imewasilisha barua ya nyongeza kwa malalamiko yetu mbele ya jumuia ya madola. Kukataa kwa uzembe kwa Magufuli juu ya janga la COVID-19 inawakilisha ukiukaji wa haki za binadamu chini ya Azimio la Harare. ''
Wadau, nimeambiwa eti kuna aina ya kokoto maalum zinazonyonya maji kupeleka ardhini.
Je, nani anazijua na zinapatikana wapi? Maana kuna maji ya pavement tumeyatengenezea mfereji lakini mvua ikiwa imepiga kubwa yanachelewa kukauka mferejini.
Na hamna sehemu ya kuyatoa zaidi ya hapo maana mbele...
Siyo atakayepatikana atakuwa best of the best CCM huwa haifanyi kazi namna huyo mkuu Paschal. Anaweza akawepo mtu bora kuliko wote na akashinda kura lakini akakatwa akawekwa boya wanaomtaka wao. CCM haina demokrasia kwa swala la kukata watu. Ndiyo maana Iringa mtu ambaye ambaye angeshinda...
Wadau naomba kujua tatizo linalofanya weusi kama fungus kwenye patio na jinsi ya kutatua tatizo hilo kwenye hizo pavement. Tafadhalini naomba ushauri kama kuna fundi pia wa kazi hiyo.
TBC yapotosha umma makusudi msemaji wa W.H.O hakusema kabisa eti lockdown haijasaidia kupunguza virus vya Covid-19. Swali na jibu haliusiani kabisa na Lockdown kama waliyoelezea TBC kwenye video hii:
Na wala msemaji haongelei kabisa eti kwamba ''lockdown haijazaa matunda ya kupunguza Covid...
Waziri Mkuu wa Uingereza ameazimia kuivunja idara ya kimataifa ya misaada na maendeleo Department for International Development (DfID). Kwa kuona inatumia pesa bila ufanisi na Uingereza haifaidiki.
Na moja ya nchi iliyotajwa kufaidika zaidi ni Tanzania kuliko hata nchi za ulaya mashariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.