Kaka ongea kitu ambacho unakijua usiwakatishe tamaa, Gypsum unaomba tender ukipewa wanakuletea mpaka magari wao viwanda vya cement kuja kuchukua mawe, labda changamoto ni kupata hiyo Tender
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wana Jf nilikuwa na ndoto siku moja niwe na fitness centre yangu kwasababu wanasema fanya kitu ukipendacho utafanikiwa zaidi.
Wana Jf kuna mtu yoyote anaifanya hii biashara au ana utaalamu nayo jinsi ya
1.kuiendesha,
2.gharama zake vifaa na wapi kwa kuvipata(sehemu ipo nikuifanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.