Mmeandika katika gazeti lenu la leo kwamba "Lissu amepata dhamana, DPP amuokoa". Kwanini msingesema na ugonjwa uliompata(automatistic) DPP mpaka akajikuta akimuokoa Tundu Lissu?!
Ni DPP wa nchi hii au wa kuazima kutoka nje?! Hata angekuwa wa kuazima asingethubutu kwa namna yoyote kuonesha nia...
Sifa na utukufu vidumu daima kwa rais wetu mwema. Najua kila mtu anajua kwamba tangu vyama vingi vianze, CCM imeendelea kujimilikisha shule za umma maarufu kama shule za wazazi.!
CCM pia ikajimilikisha viwanja vya michezo kama kirumba, al hassan mwinyi, amri abeid, majimaji, nk. Si hivyo tu...
Niwatakie nyote kheri ya mwaka mpya.Kumekuwa na mtindo wa kutengeza ajenda feki ili kubadili upepo wa mijadala kwenye taifa.Mfano ni ile ya machinga, ambayo wakuu wa wilaya wa Nyamagana na Ilemela waliwaamuru machinga waondoke tena kwa matangazo mbali mbali na taarifa za habari. Rais,waziri...
Jana nimesoma humu habari kuwa umefuta vyama miongoni mwavyo ni PPT Maendeleo na JAHAZI ASILIA kwa hoja mfu tu kwamba;
1. Havina ofisi Zanzibar.
2. Havina idadi ya wanachama wanaohitajika.
3. Havijawasilisha hesabu ya mapato na matumizi.
Hoja zote hazina maana kwa mantiki ya usimamizi wa...
Leo umetimia mwaka mmoja tangu Edward Lowassa na Juma Duni Haji watangaze kushinda urais kwa zaidi ya asilimia sitini. Walisema idadi ya kura hizo wameipata kutokana kujumlisha fomu za matokeo walizokuwa nazo. Na hivyo waliilalamikia tume kwa kupunguza ama kuwaibia kura zao na kumpa mgombea wa...
Kuna gari moja, tena lina namba zenye STK, linazunguka katika viunga vya jiji la Mwanza likitangaza matangazo ya uuzaji wa viwanja eneo la usagala. Limetangaza zaidi kuwa anayetaka habari zaidi afike Misungwi kwenye ofisi za harimashauri. Ukitazama umbali kutoka Misungwi na hapo Usagala ambapo...
Imekuwa kana kwamba haupo kabisa! Au kana kwamba uliteuliwa ukiwa huna sifa! Mambo yafuatayo yanadhihirisha ninachokisema.: 1. Polisi baada ya kuwakamata watu kijinga kijinga, na kwa hoja za kijinga kijinga, cha ajabu imekuwa kana kwamba polisi ndiyo wanaamua kama mashitaka yafunguliwe ama la...
Mtu anapokamatwa, anapaswa afikishwe mahakamani mara moja! Na siyo kumuweka kituoni na kuacha kumpeleka mahakamani! Na pengine,(na hii ni hatari) kuanza kumtesa kwa vipigo na mateso ya kila aina.
Jana tumeambiwa mmemkamata kiongozi mmoja wa CHADEMA huko mkoani Mbeya,mkampiga sana na kumvunja...
Juzi tarehe 3 bando yangu ya wiki (mitandao yote) iliexpire kabla ya muda. Nikachukulia poa. Nikaamua kujiunga tena kupitia AIRTEL MONEY, na bando nyingine ya wiki, hiyo ikiwa ni tarehe 3 yaani juzi Jumatano.
Leo saa nane hii napiga mtu anapokea tu na simu inakata. Napokea ujumbe ukisema salio...
Zoezi hilo lilivuma kwa kasi ya ajabu. Wengi tulisubiri tuambiwe ni watanzania wangapi wamo serikalini wakiwa na vyeti feki. Kwa hali inavyoenda (UKUTA) sidhani kama idara nyingine kama polisi, jwtz, magereza na majeshi mengine zitaguswa. Nashauri ukaguzi wa vyeti katika majeshi uanze ndipo...
Polisi waliwafanyia vurugu wana UKAWA/CHADEMA kule Kahama kwa hoja ya kuwepo habari kuwa kuna vyama vilipanga kuwajibu wenzao. Hoja mfu kabisa hiyo! Hali hiyo hata hivyo ndiyo inayoendelea kuelekea mkutano wa CCM July 23.
Haishangazi kuona jeshi la polisi wakishindwa kupiga marufuku huo...
Alikuwa akihojiwa na DW RADIO jioni hii.
Swali lenyewe ni hili: Kwa ninihatua zisichukuliwe kwa ambao mna taarifa kwamba wanapanga kufanya hili (uharifu) badala ya kuzuia mikutano?
Kakwepa na kusema wao kama polisi, hiyo ndiyo hatua (kupiga marufuku mikutano) waliyochukua.!
Alichokikwepa...
Kila inapotokea ajenda yoyote, CCM wanafanya jambo linalolenga kufunika ajenda na kuwatoa wananchi kwenye mstari.
Mfano, LUGUMI, Kitwanga akajifanya amelewa na kufukuzwa ili taifa lihame kutoka kujadili ufisadi wa serikali hii na kuanza kumjadili KITWANGA juu ya ulevi huku kimtindo (wale wenye...
Kwenye taarifa yenu ya mchana huu saa sita na nusu, mnasema kuwa jimbo la mbunge Marwa Ryoba (serengeti) lina shule za msingi "elfu sabini na tisa na mia nne" (79,400)! Ni kweli au msomaji kalewa pombe?! Hivi lina vijiji vingapi?
Mtakumbuka mauaji ya halaiki (massacre) yaliyotokea mwaka 2001 huko Zanzibar.Wahanga wa mauaji hayo ya kinyama walikuwa ni wafuasi wa CUF. Harakati hizo za mauaji ziliambatana na msako mkali majumbani mwa watu ambapo waliwatoa wafuasi wa CUF na kuwatesa kwa vipigo na kuwafunga magerezani...
Wakati viongozi wanajinadi kubana matumi yasiyo ya lazima, inashangaza kuona taifa lina mambo na vyomba vya hasara vingi vikiendelea kulitia taifa hasara zisizoeleka!
Baadhi yake ni baraza la sanaa la taifa, BASATA, NA MWENGE WA UHURU ambao mpaka dakika hii unaendelea kulitia hasara taifa LIVE...
Baada ya CCM kushindwa kupora Umeya wa jiji la Dar es Salaam, wakaona UKAWA wataanza kufumua uozo wa CCM tangu uhuru miaka zaidi ya hamsini iliyopita. Kwahiyo wameanza kutulaghai kwa kujifanya eti wamegundua ufisadi wa Wilson Kabwe!
Kilichotokea leo juu ya Kabwe ni mwendelezo wa ulaghai ule...
NA AMA NI KUCHANGANYIKIWA! NAANGALIA ITV WANARIPOTI KUWA ESTHER BULAYA KAKAMATWA KWA AMRI YA SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI "ETI" ILI APELEKWE MBELE YA KAMATI YA MAADILI!
POLISI NI CHOMBO CHA JINAI, NILITEGEMEA ESTHER BULAYA ANAANDALIWA MASHITAKA YA JINAI ILI AFIKISHWE MAHAKAMANI, KUMBE NI KWENYE...
Kila siku au baada ya siku chache utaskia "Magufuli kamfukuza fulani, habari ya kufukuza watu ndiyo imegeuka kazi pekee ya Rais.
Tumechoka, sasa nakwambia hivi, unawajua wote unaotaka kuwafukuza, hebu tafadhali wafukuze wote mara moja ili hili nalo lipite, imekuwa ni mtindo wa kutafuta kubaki...
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.