Wewe hutafuti mume, utakuwa unatafuta wanaume wa kuwalia pesa tu...mume si kazi nzuri kama unavyodhan ww..ukiangalia hivyo, bac utaambukizwa ukimwi na kufa bure
Acha uwongo wewe, hyo research umefanya lini na muda gan kujua kuwa kila baa au gest zote za Dodoma hakuna wageni? Hyo ndo kazi yako kuzunguka gest zote mji wote wa Dodoma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.