Kwa miaka sasa wazazi wamekuwa wakiwapa watoto wao majina kama;
sikujua
sikuzani,
Matatizo,
havinitishi
Muungano,
Majaliwa,
Subira,
Wema,
Baraka.
Taarifa zinasema neno la MAJANGA lipo karibu kuanza kutumika kama jina la mtu.
Wajumbe wa baraza la wawakilishi wamepitisha mswada wa sheria wa Kuunda baraza la Mitihani Zanzibar. awali Jina lililopendekezwa na waziri wa elimu wakati wakiwasilisha mswada ilikuwa ni Kuanzisha Bodi ya Vipimo na Tathmini ya Elimu Zanzibar. Waziri, pamoja na naibu wake Zahra Ali Hamad, pamoja...
Wadau wote waliomaliza form six wanaotaka kwenda kupiga DEGREE au kwa wakuu wanaotaka Nondoz za Masters,chuo hicho kipo poa sana na kinatoa fedha ya kutosha(Almost utasoma bure)..na kwa sasa wamepata kufahamu na kuiamini A-LEVEL ya Tanzania,baada ya vijana wa Kitanzania kwenda hapo na kufanya...
MAAFA YA KIDATO CHA NNE 2010
DARAJA WANAFUNZI
I 5363
II 9942
III 25083
IV 136,633
0 174,193
hivyo ndiyo hali halisi ya jinsi ya matokeo ya kidato cha nne mwaka 2010,
Ila hayo ndo maafa yaliyotukumba Tanzania kama Taifa,maana huu ni msiba wa...
msd medical stores department
1
EXCELLENT CAREER OPPORTUNITIES
Our client, Medical Stores Department (MSD) is an autonomous Department of the
Ministry of Health and Social Welfare. MSD was established by an Act of Parliament
No.13 of 1993 with an objective of developing...
Ingia kwenye hiyo website hapo chini,kuna nafasi kibao za kupiga shule.
International Scholarships for Developing Countries | 2012-2013 Scholarships for Development
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.