Bei kuwa nafuu haina maana kama gari ni kimeo na ndio maana nimesema mtu aje na fundi wake kuk\gua mimi nauza ili niongezee hela ninunue gari lengine kama huna gari na unalipuuza hili inakuwa imekula kwako
Gari haina shida yeyote ni kuweka mafuta na kuyeya .jipatie ndinga la kwako uepukane na daladala kwa bei ya kutupa 1.6m tena kwa uhakika uje na fundi wako0789630368
Ni familia ya mtu aliyekuwa mfanyabiashara na mwanasiasa mashuhuri nchini marekani kwenye miaka 1920s Mr Joseph Sr Kennedy yenye watoto 9 , Joseph Kennedy ktk kipindi cha ujana wake alifanya jitihada sana ili aweze kupata nafasi kubwa ya uongozi wa urais nchini marekani.
Lakini jitihada zake...
Bei chee magari ni kampuni inayojihusisha na uuzaji wa magari ya kuanzia MIL 3 kuendelea yenye hali nzuri
Epuka kalaa za mwendokasi na daladala kama kukanyagana,kunusa vikwapa, wanawake kubambiwa
Miliki gari lako sasa fanya mawasiliano na namba 0789630368 utumiwe picha za magari watsup
Jambo linapo zungumzwa tujifunze kujibu kwa hoja na hata kama mtu kakosea ni rahisi kumsahihisha kwa Wakristo tukirudi katika biblia tunaambiwa hekima ni bora kuliko silaha za vita neno hili lina maana pana kwahiyo sidhani kama kumtukana mtu au kumfedhehesha ni njia sahihi ya kumrekebisha...
Kwa nyie mnao mtukana mzee wa upako kuwa ni mlevi sijui anakunywa konyagi n. k mmesahau kuwa katika dini ya kikristo dhehebu la waroman katoliki pombe wameialalisha tena unaweza ukakuta katika mlango wa kuingilia kanisani kuna counter au ikawa sio ajabu kuona mmoja wa waumini kashika chupa ya...
Kwenye biblia utume na unabii ni miongoni mwa huduma kuu kubwa na tafsiri ya mtume ni mtu aliye tumwa na Mungu kuanzisha imani mahala ambako hakuna hiyo imani na sio kuanzisha zehebu mfano ni kupeleka ukristo mahala ambako ukristo haupo hapo ndipo mtu ana sifa ya kuitwa mtume , sasa hawa watu...
Kadri umri wangu unavyo zidi kusogea nina pata mashaka na mchezo wa mieleka ninahisi kama yale mapambano ni maigizo yani wana panga michezo ,wanatengeneza script , ninaomba mwenye taarifa sahihi anijuze
Nimepost kitu kisicho husiana na kumkashfu mtu wala kuvunja sheria za nchi lakini from nowhere my thread imekuwa deleted ....this is not fair at all Change u guys . nyie wenyewe mnapigania uhuru wa mitandao lakini sisi humu Jf hamtupi uhuru au ndo mkuki kwa nguruwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.