Yawezekana huyo mwanamke si mkazi wa Njombe wala si muumini wa hilo kanisa, ninavyo fahamu mji wa Njombe ni mdogo, na mhusika angekuwa anafahamika, huyo ametumwa.
Hakuna kitu kilicho na faida tu bila hasara au hasara tu bila faida. Mhusika wa kitu husika ndiye anayeamua kukitumia kifaa hicho kwa faida au kwa hasara. Hivyo hivyo kwa FB kama umeamua kutumika kwa tathnia hasi basi matokeo yake yatakuwa hasi na kama imeamua kutumia kwa tathnia chanya basi...
Majaji hawaogopi kuvuliwa nyadhifa zao, wanauhuru na ulinzi wakutosha waliopewa na katiba kwa mujibu wa Ibara 107A na 108. Wanaogopa kunyimwa uongozi wa kisiasa mara baada ya kustaafu nyadhifa zao. Majaji wengi ni wanachama wa chama fulani japo sheria hairusu jaji au hakimu kuwa mwnachama wa...
Kama tumefungwa na Rwanda, kisha tukipewa dozi ya kutosha na Brazil, tutakuwa tumetangaza ubora wetu wa kusakata soka au tumetangaza wendawazimu katika soka? Me nadhani tungetumia nguvu kubwa kufuzu mashindano ya CHAN ndio ingekuwa fulsa nzuri na bora ya kujitangaza lakini sio hii. It is total...
Ok! mnyalukolo hapo umeongea vizuri sana, Je unadhani kulikuwa na makubaliano yeyote kati ya TFF na vilabu juu ya kuonyesha mpira moja kwa moja (Live), na kama yalikuwepo kwa nini vilabu kikiwemo Yanga walipo anza kulalamika TFF hawakutoa tamko? Kuonyesha mpira ni biashara na kama utakubaliana...
Wakishua huyo, kazaliwa kwenye sofa kakulia kwenye hotpot... Escaping the problems is not a permenent solution to yourself and the public in general, Let discuss what should the society and the Government do to solve it.
TBC Taifa, Clouds Fm, 100.5 Fm, Radio Tumaini, Praise Power Fm, chanel Ten, TBC1 na nyingine nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Tanzania nzima - Radio One & ITV haidhuru habari za Wekundu zitaendelea kuvuma, Kwanza Radio One inasikika Dar es Salaam na mikoa michache tu haina watazamaji na...
Tehee tehee tehee... Itetei Lya Kitee matatizo na mkeo hayaishi tu? mara mpenzi wako ana chuki na ndugu yako, mara safari na bosi wake zimezidi Tehee tehee tehee....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.