Search results

  1. M

    SAUT acheni kuumiza wanafunzi wenu kwa pass mark

    mazungumzo haya yanawasumbua sana nyie vijana mlioko vyuoni.. Malizeni mje kazini muone mambo yalivyotofauti... Interviews haziangalii umesoma wap jaman., kuna mambo mengi sana yakuangalia na hao mnaowaita vilaza wanaotok vyuo vya private ndo wanafany vzuri. Wanafunzi wa tumaini wamejaa huku...
  2. M

    ziko wapi shule za vipaji maalum?

    hivi punde tumeshuhudia matokeo ya mitihani ya kidato cha sita lakin cha kushangaza ndani ya shule kumi bora, shule za vipaji maalum hazionekani na zaidi ya hayo tumeshuhudia uwepo wa shule ya kata ndani ya kumi bora [kisimiri]. Je hi ni kuonyesha kwamb vipaji kwa sasa vipo kata?
  3. M

    Huenda Open University of Tanzania (OUT) inatoa wanafunzi bora Tz

    mi nadhani sio kweli kwa7bu kwanz material hawatafuti bali wananunua kutoka chuon pili ingekua mtu anafaulu kwa kujisomea mwenyew kusingekua na haja ya walimu. Hawa wanafunz wa open kinawasaidia ni wao kuwapo kazini ambapo wanajikuta na ujuz na uzoefu mwingi lakini uzuri darasani huwezi...
  4. M

    baadhi ya vyuo, ni bora vyuo.!

    hazikutoshi wewe... Unafkiria kila aliyefeli hajui? Think twice
  5. M

    Mwaka huu bodi ya mikopo elimu ya juu(heslb) yachelewesha pesa za kujikimu(boom) tatizo nini?

    sio kweli kwamba ratiba ya chuo kikuu cha jordan (Juco) imebadilishwa na pili bumu walishapewa wiki iliyopita
  6. M

    Jordan university College hali mbaya!!!

    vice principle Fr. MUHOZA ni kauzu zaid ya dagaa wanafunzi walipotaka kuandaman akasema ataenda mwenyew bodi, ameenda bodi wakamwambia serikali haina hela aliporudi akasema msubiri serikali itimize wajibu wake. Kama kuna anaetaka kuandamana aandamane halafu wakutane. Mbaya zaid amewaambia hayo...
  7. M

    Tusaidiane juu ya kuapdate mikopo heslb..

    mfumo huo haupo tena.. Bodi itaendlea kutoa mikopo kwa wanaonufaika kam kawaida... Ikiwa kuna ambae hataki kuendlea kupokea mkopo anatakiwa kuijulisha bodi. Kwa maelezo zaid tembelea website yao.
  8. M

    boooom sua vp jaman!

    wametutenga morogoro... Hakuna hata chuo ki1 ambcho wanafunz wamexain
  9. M

    Loan board wasababisha hali ya hatari Jordan university

    FFU wanaonekana kila wakati wakipita na kusimama eneo la chuo bila mpangilio maalum. Wat wanahisi huenda chuo kinajaribu kuchuka tahadhari mapema kwasababu ni ukweli hakuna dalili hat za kusaini kila siku wanaomb uvumilivu.
  10. M

    Kuapdate heslb ngoma nzito

    yeah huku kwetu loan officer anatumia kila njia kuwajulisha wat kwamb kwa sasa hakuna ku update tena, bodi itaendlea kutoa mkop kwa wat wake kam kawaida. Kwa ambao hawataki ndo wanatakiwa kutoa taarifa.
  11. M

    Loan board wasababisha hali ya hatari Jordan university

    Wanachuo wa jordan university wametangaziwa hali ya hatari kwa kuitiwa askari wa kutuliza fujo FFU kuzunguka maeneo ya chuo kila wakati. Hii nibaada ya kuzuka kwa tetesi kwamba wanataka kuandamana kutokana na kukosa pesa za kujikimu kutoka loan board. Ni ushauri wangu kwa bodi ya mikopo...
  12. M

    SAUT Mwanza yasimamisha wanafunzi 8!

    aixe hiyo nimeipenda... Kusoma ni kazi jaman
  13. M

    Mtei: Zitto Hahitajiki ndani ya CHADEMA, Uamuzi wa Kamati Kuu ni wa Mwisho!

    Mwalimu hakuwah kufanya huo upu*zi. Futa kauli yako
Back
Top Bottom