Jamani, hawa madereva wa huku uraiani Mbagala na Kijichi wana vurugu sana. Sijui ndiyo wanajaribu kujionyesha kwamba wana magari ya mikopo? (tunaita limbukeni).
Mfano wale wa kutoka maeneo ya Kijichi, huwa wanaovertake kwa kutanua pale mlimani na kwenye kona kali sana bila kujali wenzao, ni...
Jamani kwa wale tunaotumia Kilwa road, hii barabara ni balaa kwa hivi sasa.
Kutoka pale roundabout ya Uwanja wa 77 hadi Mtongani kipande kile ni adha tupu.
Kwanza kimekaa bila matengenezo sijui miezi mingapi, naona tunahesabu kalenda tu. Wametulazimisha kupita pale kati lakini siku hizi...
Mimi nilikuwa kati ya wale watumiaji wa barabara ya Kilwa ambae niliwapongeza askari wa traffic pale walipoweka mabango kuzuia matumizi ya zile barabara za short cut (michepuko) ili kukata foleni na kuja kuchomeka hapa pembeni kwa yaliyokuwa makao makuu ya BP.
Lakini hivi karibuni yale mabango...
Wadau wa Mtoni Kijichi na maeneo ya karibu,
Hii sasa imekuwa shidddda! Kila baada ya masaa fulani umeme umekatika, umepungua nguvu mpaka kuunguza vifaa na mengi ya kuudhi kutoka Tanesco.
Umeme ukikatika jumamosi huwa unarudi usiku sana au baadhi ya siku huwa unarudi jumapili. Huu ni uonevu...
Ziara ya Kinana na Nape imewaibua "Mawaziri mizigo" saba ambao wameitwa huko Dodoma kujieleza.
Nashangaa kwa nini Waziri wa Ardhi hakuitwa kujieleza kwani hayo matatizo kwenye Wizara yake ndiyo yamejaa tele na wala hatujaona ufanisi wo wote.
Kuanzia uvamizi wa maeneo mpaka ugomvi wa ardhi...
Haya mambo hayoooooo!
Mwanamama mmoja nchini Marekani aliyetaka kuutengeneza mwili wake uwe wakuvutia zaidi amejikuta matatani, baada ya kudungwa sindano za saruji na gundi ili kuongeza ukubwa wa makalio yake.
Mwanamke huyo ambaye hakutajwa jina kutokana na sababu za kisheria, alikuwa akitaka...
Juzi kwenye tv wakati sakata la machinjio ya Vingunguti linaelezwa niliona ng'ombe mmoja ameshindwa kusimama kwa njaa kwani ulikuwa unamwona amekonda kabisa. Nina imani na wanyama wengine huwa wanatendewa vile vile.
Kwa kweli huu ni ukatili usiopimika kuwacha wanyama na njaa kwa vile...
Katika miaka hii ya karibuni nyumba na ofisi nyingi zimekuwa na microwave ovens ambazo huwa zinarahisisha kazi kwa kiwango kikubwa.
Tatizo linakuja pale linapoharibika, jee disposal mechanism yake inakuwa vipi?
Nimesikia kuna vitu vinatoa mionzi mule kwenye microwave sasa jee tufanye nini...
Tafadhali naomba msaada kwa wataalamu wahusika.
Nina laptop yangu ni hp nimeinunua kama miaka miwili nyuma lakini huwa siitumii sana.
Operating system in windows vista na program za microsoft (word, excel) ni za 2007. Inayo norton antivirus ambayo ni up to date.
Hivi karibuni nimenotice...
Ndugu wanaforum naomba msaada wenu.
Kulikuwa na post moja ambayo ilikuwa na discussion juu ya ujenzi wa nyumba.
Sasa na mimi naomba kuuliza jee ni katika hatua gani ya ujenzi nahitaji kumwita interior decorator? Kabla ya kuanza kupaka rangi au rangi niamue mwenyewe halafu ndiyo nimwite yeye...
Jamani mimi mwenzenu napata shida kuhusu majukumu ya Wabunge tunaowachagua kwenye majimbo yetu.
Asilimia kubwa ya wananchi wanasema Mbunge wetu hakutufanyia hivi, mfano hakutujengea shule, barabara, hospitali, hakuleta maji na kadhalika.
Naomba kueleweshwa jee upeo wa majukumu ya Wabunge ni...
Tafadhali naomba ushauri kwa jirani yangu huyu.
Kuna mwanamke anamtaka kimapenzi lakini yeye hana interest naye kabisa. Lakini mwanamke huyu anamsumbua sana mpaka imekuwa kero. Mchana na usiku ni message tu za kumpenda na kumwomba waoane. Huyu mwanamke wala hajali kama yule jamaa ana mke au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.