kitengo cha propaganda na hata hicho kituo cha television kilichotangaza kilikuwa na uhusiano na Netanyahu. Jaribu kusikiliza na news kutoka sources nyingine (za hao hao wazungu lakini wasiopenda dhuluma za Israel) na utapata balanced information.
waliambiwa watoe ushahidi wakashindwa. Na ilifahamika kabisa wapi propaganda ile ilitokea, na yule aliyetangaza alipewa taarifa na jeshi la Israel yeye mwenyewe hakuona.
ni kweli wengine huwa wanajisahau kabisa na kusubiri baba afe wao warith, na wengine huenda mbali zaidi na kufanya mipango ya kumuua mzee ili wapate urithi mapema.
kwa hivyo hiyo ni kuwapa challenge wasilale lakini wachakarike ili kutafuta utajiri wao wenyewe na kuzionea uchungu fedha walizotafuta.
siyo nyumba ya ibada, ni floor moja ndiyo iliwachwa wakfu kwa chuo. Sasa huyo imamu ni tamaa tu.
Hapo hakuna makubaliano ni kwamba nyumba iuzwe kihalali, wote wakubaliane itolewe sehemu ya fedha ijengwe madrasa kwa jina la mwenye nyumba ili aendelee kupata thawabu zake. Kwa hali ilivyo hapo...
Please don't worry P, sisi tunatambua kuwa wewe unajua hizo issues zaidi kuliko huyo aliyekuita muongo.
Shida ya vijana akiwa yeye hajui basi anafikiria na wengine wote wako kwenye level yake ya kutojua.
hiyo wameisahau hao akina dada, wao wakishaolewa haoooo wameondoka wanashughulikia familia zao, leo wanakwambia wewe kaka usishughulike na yako.
Huyo mke anakuzalia watoto na kuwashughulikia kikamilifu, wewe sifa yako ni lile jina (bin au binti fulani).
Ukiumwa ndiyo full time nurse lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.