Huwa kuna mijadala mingi mitandaoni kuhusu huduma za kinga na tiba tunazopewa na wazungu. Wapo wanaosema kuwa kuendelea kupewa misaada ya chanjo na baadhi ya tiba ni moja ya njia inayotumiwa na wazungu kupunguza kasi ya watu weusi kuzaliana. Nimefuatilia makala iliyorushwa na Dw inayoonesha ni...
nakushauri utembelee zanzibar pia na uwaulize wenyeji mambo yaliyofanyika ndani ya miaka mitatu , ujiridhishe pia kama Zanzibar inao uwezo wa ku-mobilize hizo financial resources
Kwa umri wake yupo katika hatua ya kusema ukweli tuuu. Ubongo wake hauna nafasi tena ya unafiki: toka mwenda zake aondoke familia yake ilionesha kukerwa na uwepo wake kwa hiyo walisherehekea kuondoka kwake
Hebu kwanza niorodheshee wanafamilia au wana ukoo wake waliofariki, tuanzie hapo kwanza.
Aliyekufa alikuwa mbaya wake, kwani hilo hulijui????????????????????????
Usipepese macho , sema tu ukweli- mmoja wa wahusika wakuu tumemuona juzi akitembelea mkongojo, wengine kama akina Ndolanga wameshatangulia mbele za haki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.