Wakuu,
Leo ni siku ya pili ya kipindi cha Sports Arena cha Wasafi FM, kuna baadhi wameanza kusikiliza jana na baadhi leo na wengine labda kesho na kuendelea wanaweza kuanza kusikiliza, hivyo basi ukiwa kama msikilizaji naomba utoe ushauri wako ni wapi wanakwama na wafanye nini ili kuboresha...
Habarini humu,
Nimejaribu kutafuta kama kuna jukwaa la afya ila nimekosa/sijaliona so nikaona si vibaya kwakua humu kuna doctors basi mnaweza kunipa ushauri mzuri zaidi kuhusu lishe, ndio namaanisha ''unga wa lishe kwa mtoto au hata mtu mzima.
Je kuna ubaya/faida gani kwa kuongeza unga wa...
Heshima kwenu wakuu,
Kwanza nalipa pongezi jeshi la Polisi kwa kazi kubwa ambayo wanafanya haswa kitengo cha usalama barabarani kwa kazi kubwa mnayofanya.
Pili ningependa kutoa ushauri kwa traffic mnaoongoza magari hapo moroco acheni hii tabia ambayo imeanza kuota mizizi, hivi mnawezaje...
Heshima kwenu wakuu,
Nimejaribu kutafuta post ya kuelezea hii kitubila kwa bahati mbaya sijaipata, kwahiyo nami kwa kutumia kile nilichopata nimeona si mbaya nikashare nanyi jinsi gani unaweza kuangalia Skysports na Btsport hapo hapo kwenye simu yako.
Vitu inavyotakiwa kuwa navyo ni simu ya...
Habari wakuu,
Hiki ni kitu ambacho huwa mara kwa mara kinanitokea na yawezekana hata wewe imeshawahi kukutokea.
Mfano: Mnaweza kuwa kuwa group la watu kama tano mpo pamoja mnatembea, kati yenu mmoja akianza kukojoa mkojo tu basi group lote mnaweza mkawa na hiyo hali ya kutaka kukojoa na...
Heshima kwenu wana MMU,
Nimeuliza hilo swali kwa wasukuma ili nipate majibu hasa ya kile ambacho rafiki yangu kinamtokea hivi sasa.
Nina rafiki Msukuma ambae anafanya kazi Mtwara, rafiki yangu ni mwalimu.
Amepata msichana ambae ni Mmakonde ila ndugu wanamkataa wakidai kwamba hata siku moja...
Wakuu hodi humu,
Naomba kufahamu ni nini hasa kinasababisha wanawake (baadhi) kutokwa na utando mwingi sana wakati wa ku~do?
Mimi ni Mvulana na kitu hiki huwa kinaniboa sana tunapo~do kwani huwa unatoka mwingi sana na huwa na kama maziwa ya mtindi.
Wenye elimu kuhusu hii kitu naomba ushauri...
Makao Makuu ya AzamTv yamezinduliwa na Yatakua Tazara.
Leo wametoa Logo yao sehemu ambayo yatakua makao makuu yao pale Tazara.
Kwa watu waendao Kariakoo au Posta nadhani watakua tayari wameona hilo jengo.
Nategemea jamaa kuishika sana Tanzania.
Keep it Up AzamTv
Nauza Sony Experia Z imetumika mwezi Mmoja.
Ina internal memory 16 gb
Os Jelly Bean 4.0 upradable to 4.1.2
Water Proof
Unlocked
HD camera ya 13 Mp
Min Sim card
BEI Tsh 600,000
Mawasiliano; 0789776477
Nimenunua Iphone 4 kama Mwezi mmoja uliopita, Nimekuta kuna version ya 6.1.3.
Nataka kuistall Siri kwenye hii simu, Je nifanyeje au wapi naweza kwenda na wakaniwekea hii kitu?
Kwenu wadau nahitaji msaada wenu.
Wadau,
Nilikua naangalia social network ambayo ipo hot now achilia mbali Facebook na Instagram nikaikuta hii site inaitwa "Pheed" ambayo unapatikana katika googleplay na Applestore.
Kiukweli ni nzuri kuitumia na zaidi inatoa pay per view.
Nilichotaka kujua ni Je kuna member wa JF ambae...
Juzi nilikua maeneo ya Buguruni mishale ya saa sita usiku nikipata moja moto, moja baridi. Baada ya kilaji kukolea mbele yangu kulikuwa na kidada, nikajiexpress akanielewa, alitaka 20,000 ya kazi yake na chumba juu yangu.
Kituko: Tulipofika Guest binti alipandisha sketi na kulala kisha kunitaka...
Wadau kwa mtu anayehitaji nauza Cowon S9 32GB
Ina Operation System ya Android 2.3
Inaplay aina zote za video, Avi, Mp4 etc
Inapleay aina zote za Audio
Ina Flash player.
Kama umeipenda tuwasiliane kupitia number 0654994899.
Bei ni laki mbili (200,000).
Changamkia ofa kuz zinauzwa Dollar 250...
Nimejaribu kwa muda mrefu sana kutafakari hotuba ya Bajeti iliyowasilishwa Bungeni lakini sijapata jibu mwafaka, nina maswali ambayo nataka tujadiliane wana JF:-
Je tunahitaji kupangiwa Bajeti na wazungu kwakuwa sisi imetushinda?
Je hatuna wataalamu wa kutosha kuweza kupanga bajeti yetu?
Je...
Wakuu.
Nina Girlfriend ambae yupo mbali na mimi kiasi kwamba tunaweza kukaa almost 6 months hatujaonana ila tatizo nililonalo ni kwamba nina wivu kupita kiasi.
Nimegombana nae mara nyingi sana na hata kufikia hatua ya kum-cheat ili kupunguza hasira zangu still bado tatizo langu sikuweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.