Namkumbuka huyu jamaa kati ya watangazaji wa mpira mahiri sana enzi za RTD ila alikuwa kamba sana.
Anaweza kutangaza goli mchezaji ndio kwanza yupo kati ya uwanja
Mchina hana tech, ni copy and paste.
Sikumbuki kama kuna tech yoyote iliyogunduliwa china inayotumika kwa wingi sana Duniani kwa sasa.
Kumfananisha Mmarekani na Mchina ni kutomtendea haki Mmarekani.
Made In California, resembled in China, Apple wahuni sana aisee.
Naunga mkono hoja, Mimi pia nimefanya kazi call centre na hakuna access ya kusikiliza simu za mteja hata kidogo.
Simu pekee unaweza kusikiliza ni zile za Call centre ambazo mteja atapigia call centre au kitengo cha IT watampigia mteja ili kumsaidia.
Wale tuma kwenye namba hii wanatuma text...
Kiongozi wa Hezbollah anaishi kama digidigi. Katoa hotuba akiwa kajificha kusikojuliana akiogopa kuuliwa.
Afu huyu ndio mnategemea aanzishe vita. Pro-Palestina mna kazi sana
Kama hili
Kama hili unalijua basi hakukuwa na haja ya ubishani mlioleta hapa Pro-Russians kuwa nchi yenu ni mzalishaji mzuri tu wa modern technology na sio hayo machumachuma yao ya kizamani
N
Nimekuambia nitajie gari la mrusi ambalo w umeliona kwa macho yako naona unaleta link hapa.
Gari gani ya jeshi made in Rusia umewahi iona Tanzania? Manake mimi naziona za wahindi sana tena sana
Ukuaji wa uchumi ni pamoja na kujitanua, huwezi niambia nitengeneze magari afu kwa matumizi ya nyumbani tu.
Nimekuambia nitajie kampuni moja tu ambayo ww unaijua ambayo inafanya vizuri kutoka urusi nje ya Gazprom naona mpaka sasa unanipa ngonjera hapa.
Yes telegram ina asili ya urusi bt sio...
Sio wakaachana nayo ila gharama walichemsha na hayo machuma ya zamani.
Hivi unadhani tatizo ni kuanza?? nope ndugu yangu, wagiriki ndio mababa wa sayansi na gunduzi nyingi hapa duniani ila mpaka leo hii huwezi ifananisha ugiriki na hata India kwenye sekta mzima ya sayansi, wahindi wako far...
Yaani unatumia afu hujui kuwa unatumia, siku nyingine kabla hujauliza jitahidi kufikirisha ubongo wako kwanza.
Natumia Nokia-Microsoft Product- Marekani
Natumia android os-Marekani
Natumia macntosh-Apple Marekani
Facebook, instagram,whatsapp,snapchat, Google e.t.c ni vingi sana kiukweli...
Hivi kuna bidhaa gani ambayo unaitumia wewe made in Russia?
Au kuna bidhaa gani anatumia jirani yako au hata rafiki au ndugu yako made in Russia?
Rusia ni kama North Korea tu, Nje ya gas she has nothing.
Ulimwengu wa sasa bila modern sayansi na teknologia ni sawa na kuishi gizani, Rusia...
Baniani baya kiatu chake dawa.
Pamoja na ubaya wake mmarekani na EU lakini inapokuja kwenye masuala ya ubinadamu na haki za binadamu hawa jamaa wako far sana, Ni Nchi zinazoongoza kwa kutoa misaada hapa Duniani haswa Nchi za kiafrika na Asia, ni Nchi zinazoongoza kqa kupigania usawa wa...
Sawa kamanda mbobezi wa vita, mjuzi wa vita vya familia yako.
Umekaa nyuma ya keyboard unajiona unajua sana vita kwa kupiga porojo hapa.
Kwa Dunia yetu iliyostaarabika ni mpumbavu pekee ndio anaweza kupiga watoto kwa kosa alilofanya mzazi.
Vita inapiganwa on batterground kwanini huyu mpuuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.