Ukweli ni kwamba, hakuna mtu Tanzania ya leo anaewania madaraka ili alete maendeleo kwa sababu ana uchungu na nchi. Wanaloliwaza ni wao watafanikiwa vipi kujiendeleza wao binafsi na familia zao. Si CCM tu, hata hao wapinzani wanalolitafuta ni hilo. Inatia uchungu sana!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.