Muheshimiwa hapo juu nakuunga mkono kwa hoja yako. Halafu huyu waziri Simba huwa ananichanganya sana kwa hoja zake za ajabu ajabu. Lakini inaonyesha siku zao zinakaribia mwisho.
Kwa jina naitwa Alex Mwezi. Naishi Sweden, mimi mwanachama mpya wa JF. Mimi huwa ninasoma sana magazeti pamoja na blogs za Kitanzania ili kujiweka sawa na hali ya maisha huko nyumbani. Kwa sasa naona siasa imepamba moto kweli kweli kuhusu ufisadi na mafisadi, jambo ambalo naliona kuwa ni zuri...
Kwa jina naitwa Alex Mwezi. Naishi Sweden, mimi mwanachama mpya wa JF. Mimi huwa ninasoma sana magazeti pamoja na blogs za Kitanzania ili kujiweka sawa na hali ya maisha huko nyumbani. Kwa sasa naona siasa imepamba moto kweli kweli kuhusu ufisadi na mafisadi, jambo ambalo naliona kuwa ni zuri...
Yaani siasa za bongo raha kweli. Mafisadi kila kona, wengine wanawashambulia wenzao, wakati huhuo wenyewe wanafisadi kwa ruksa ya walalahoi. Tutafika kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.