kwahiyo wanainchi ndio wanatakiwa kuuwawa na police au unamaanisha kitu gani ndugu mtoa mada? Nijuavyo mm kila mtu anahaki ya kuishi uwe mwandishi au la.
Mwanasheria mkuu wa zanzibar asesema ukweli leo kuwa hakuna muungano adai yakuwa muungano upo tu kama kiini macho lakini kiuhalisia muungano haupo hilo kalisema leo katika semina ambayo inaendelea muda huu kwa waheshimiwa wawakilishi wa baraza la mapinduzi zanzibar. Tizameni ZBC ni live muda...
Kaka Yahaya budget ya mwaka huu ni budget ambayo ni kiini macho kwa sababu ifuatayo hivi inakuwaje serikali iongeze trilion 2 kutoka budget ya mwaka jana na zote ziende kwenye matumizi ya kawaida?
Na serikali hiyohiyo imepunguza matumizi ya maendeleo kwa zaidi ya bilion 400? Hiyo ni kutokana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.