Naunga mkono hoja, maisha ni pesa, na hata wote waliokua waneomba nafasi mbali mbali, msingi wao mkubwa ni kupata pesa kisha mengine yanafuata, yes wapeleke majina ili wawape ajira, kwa kufanya hili watakua wamewasaidia watu wengi ambao ni tegemezi kwao.
WAPELEKE WAKAPIGE PESA, ACHANA NA POROJO...
Mkuu acha kutumia akili za kushikiwa, hizo ni mbinu zao chafu za kutaka kuipaka serikali matope, nani awauwe na kwa sababu ipi ya msingi, na kwa nini kipindi chote cha kampeni wasiuliwe kama kweli dhamira ni hiyo?
Baada ya kukosa kazi ya ubunge wanaona bora wakatafute huruma ya wakenya kwa kisingizio cha kuomba hifadhi....stupid ideas...mbona wamezunguka nchi nzima na hakuna aliyewagusa?
Dunia inauona ukweli, hali ya usalama wa nchi si jambo la kuficha, hii ni kukosa uzalendo, hakuna yeyote katika nchi zilizoendelea anaweza kufanya haya...Taifa kwanza..
Ni kweli mkuu, hata mimi pia hayo maswali mda mrefu nimekua nikijiuliza sana, tuko wachache sana nje ukilingabisha na mataifa mengine, hasa jirani zetu , wakenya na waganda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona watu wengi wanazungumzia Oil oil oil.....,sijajua effect ya oil katika ku-improve engine performance, maana ninachojua kazi kubwa ya oil ni kufanya lubrication na engine cooling.
Performance ya engine inaletwa na ratio nzuri ya mafuta na hewa kwenye combustion chamber.
Change air filters...
Hahahah, hii mada inanikumvusha mbali sana, nakumbuka siku moja jamaa alikuja na kiporo cha wali na kisamvu, halafu alikieeka ndani ya kipolo cha unga wa sembe , vile vidogo. Kila mtu alikufa kwa kucheka....
Ingawa wengi hawawezi kuiona hoja hii, ila kwa mimi binafsi naamini ushindi wa trump umechangiwa na mambo mawili, jinsia pamoja na mahusiano kati ya Hilarly na Mme wake Clinton. Naamini kama mpinzani wa trump angekua mwanaume, basi trump asingeshinda. Ki ukweli ,japo si rahisi kwa mtu kua muazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.