Search results

  1. Lilambalyakwilole

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Umenikumbusha Kwa brother y, kitambo sana, hadi sasa kiwanja kipo?
  2. Lilambalyakwilole

    Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

    Hana sifa, anafaa kuwa mwanaharakati, angalau awe mbunge kwaajili ya kuichachafya serikali. Hata uwaziri tu hana sifa.
  3. Lilambalyakwilole

    Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

    Nakuhakikishia mbinu wanayotaka kutumia chadema itawaghalimu, wanalamba matapishi Yao, wangebaki kwenye hoja kuu na msimamo wao wanaouamini. Sio hii ya kuwa kigeugeu, nasikitika kuwa bado hatuna upinzani imara, Hawa wanaangalia upepo unakoelekea, hawatafaulu kamwe, wanajichimbia shimo
  4. Lilambalyakwilole

    Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

    Lisu hana credibility ya kutumia jina la magufuli, Tena nashauri wanachato, akija huyu jamaa pigeni mawe mnafiki mkubwa huyu. Anatumia jina la magufuli kuungwa mkono, wakati alimkashifu na kumtukana hadharani. Ni kweli serikali ya sasa inafanya madudu lakini amwache magufuli apumzike, aache...
  5. Lilambalyakwilole

    Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

    Aache unafiki huyu jamaa, asitumie jina la magufu kupata uugwaji mkono, amwache magufuli apumzike, alimpinga na kumtukana hadharani Leo analeta unafiki. Hapo amechemka. Kweli upinzani hatuna, ndio maana magufuli hakutaka mbwatuke, kwasasabu hamna hoja.
  6. Lilambalyakwilole

    Zembwela: Elimu ya Sheria si makalio eti kila mtu awe nayo

    Huyu naye sijui amekula maharage ya wapi, acheni uchawa, sasa ulienda kule kufanya nini kama unajijua kuwa wewe ni empty, hili nalo likaangaliwe
  7. Lilambalyakwilole

    Baada ya kukua nimejifunza yafuatayo kuhusu siasa za Tanzania

    Kwahiyo hao uliowataja watachaguliwa na wanafunzi?
  8. Lilambalyakwilole

    Baada ya kukua nimejifunza yafuatayo kuhusu siasa za Tanzania

    Unatumia mihemuko kufikiri sio logic, watachaguliwa na wananchi kupitia platform gani? Je wewe umewahi kutokuwa mpenzi au shabiki wa chama hata kwa dakika moja?
  9. Lilambalyakwilole

    Mambo usiyoyajua kuhusu kupotea kwa Titan submarine

    Naomba kujua, je hiki kilikuwa chombo Cha kwanza kwenda huko Kwa shughuli za kitalii?
  10. Lilambalyakwilole

    Nani anayeihujumu TTCL? Kuna tatizo la kuadimika kwa laini, zinauzwa mpaka 7000

    TTCL ilishauawa tangu RAIS alipotamka kuwa, ttcl wajihusishe na usimamizi wa mkonga wa tafaifa TU. Huduma zingine iachie wengine. Ila inaumiza sana hasa ukifikiria uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali ya awamu ya Tano kwenye shilika hili. Inakera sana
  11. Lilambalyakwilole

    Mzee Warioba: Ningehudhuria lakini siwezi kuchangia jambo lenye ukakasi

    Mnatafuta namna ya kuhalalisha kugomewa
  12. Lilambalyakwilole

    Mzee Warioba: Ningehudhuria lakini siwezi kuchangia jambo lenye ukakasi

    Mnatafuta namna ya kuhalalisha kugomewa
  13. Lilambalyakwilole

    Ni mfu, ajabu nderemo zake zina ujazo kuzidi walio hai. Kwanini?

    Katajwa mara mbili tu katika tukio zima, lakini shangwe za wananchi hadi rais kashtuka.
  14. Lilambalyakwilole

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Njombe ilishaipita LINDI mda mrefu, labda lindi ipindue MEZA kwa sababu ya uwekezaji wa gesi
  15. Lilambalyakwilole

    Walimu msiilaumu CHADEMA!

    Acha ujinga wewe , mbona mmeona walimu ndio jalala la kila lawama?
  16. Lilambalyakwilole

    Ole Mushi: Watanzania tumejipangaje kuipokea Congo kwenye EAC?

    Wazo zuri sana, viongozi wetu wanatakiwa kuliona hili na kuwahamasisha wananchi,. Unatakiwa mpango wa kitaifa na sio kuachia kila mwanchi kupambana kivyake.
Back
Top Bottom