Naomba wote tufahamu kuwa kuna political na professional presidential appointments. Political presidential appointment ni pamoja na ukuu wa mkoa, wilaya, mabalozi, ukuu wa bodi mbalimbali, mawaziri, manaibu mawaziri n.k. Sifa za uteuzi wa nafasi hizi ni nyingi kuziainisha lakini pia ni RAIS...
"Upendo wa kweli huvumilia, hufadhili, hauhusudu, hautakabali, haujivuni, haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, hauoni uchungu, hauhesabu mabaya, haufurahii udhalimu bali hufurahi pamoja na kweli." (1 Korintho 12:4-7)
Nawatakia happy VALENTINE DAY
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.