pole mkuu, huku kagera hasahasa karagwe ni kesi za kawaida, mwanamke anakutega then unakamatwa ugoni afu
mnakaa mezani na mume wake, mara nyingi wanataka malipo gari au hela kuanzia 5m na jamaa wanalenga wenye uwezo, ukibisha wanakukata panga na ukilipa mambo yameisha na jamaa anasepa na mke wake.
kama ni maeneo ya mkoa wa singida hata usishangae, nimetembea mikoa kadhaa ya tanganyika, hakuna mkoa una traffic wasumbufu kama singida, kuna wale wa pale misigiri stand, washawahi nikamata na toch ya speed wakati kuna jamaa kanipita na hawajamkamata, mi nkawauliza kama mimi nimevuka 50 speed...
kama kabila lake ni kutoka muleba, hata usishangae, siye ni kitu cha kawaida, ukipata kufika muleba(kagera), guest zote wameweka mipira ya nailoni kwenye magodoro na hatushangai kuona maji yanatiririka kutokea mlangoni mwa chumba cha jirani. welcome to the world
kwa kuongezea, CDM NI LAZIMA KIJENGE MIZIZ KUANZIA CHINI KABISA YAANI KATA NA HASAHASA UDIWANI AMBAO NDIO WADAU WAKUBWA KATIKA MAENDELEO YA JIMBO, NASHAURI UCHAGUZI UJAO, WANACHAMA NA WAPIGA KAMPENI WAJIKITE KWA KASI ILE YA UBUNGE KWENYE UDIWA, UKICHUNGUZA KWA MAKINI UTAONA MAENEO MENGI AMBAYO...
Tukisema waswahili ndo tulivyo sina uhakika, mfano ni wakazi wa moshi mjini, wale usafi ndo msingi na wamejiwekea taratibu zao na ndo zinawaongoza hadi leo kushika namba moja kwa usafi tanzania. Mi nafikiri malezi na mfumo wa maisha ya eneo husika vinachangia.
mkishaingia ndani ya ndoa mimi inakuwa sisi na hapo suala lolote ni la wote, mi nafikiri ipo sababu na inaweza kuwa ya msingi iliyomfanya abadili dini, ila kama kubadili kwake dini kumeathili mahusiano ya kifamilia kama vile kubadili kabisa mfumo na utaratibu wenu wa maisha hapo ndoa inaweza...
na hata wakati mwingine tunapata shida kusema aksante kwa housegirl, ye ndo kaandaa chakula, na anakusubiri umalize kula ili atoe vyombo, nguo kafua, kakunyooshea, maji kakuwekea bafuni/kaandaa bafu, ni nani wa kumshukuru kama si yeye? na ukisema shsante kisha mke akasikia ujue vita kati ya mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.