Mmemsikia Captain John Chiligati? Amewaonya wakazi wa Kipawa kwamba, wasitumie fedha zao kufungulia kesi, bali waende wakajenge. Amewaeleza pia kwamba, watapoteza pesa kuwachangishia mawakili feki...wengine ndo kula yao hapa mjini.
Kwani Rais wetu yupo juu ya sheria? Kama IPTL na Serikali wana kesi mahakamani, Mhe Kikwete ni nani hadi aingilie uhuru wa mahakama?Jaji wa mahakama husika ndiye mwenye mamlaka ya kutangaza hivyo.
Ndugu zangu tujiulize: Rais(kwa mfano) anapoteua kiongozi wa ngazi yeyote, anaangalia kwamba ni rafiki yake, ndugu yake, CV yake, au anapelekewa tu majina ya candidates na makatibu wake? Naamini kuna wateua wengine ambao anakuwa hawafahamu kabisa!
Rev Kishoka ameongea point ya maana. Siku hizi watu hatuangalii dini ya mtu, muhimu ni roho yake na matendo yake. Wakristo wangapi wanachemsha? Waislamu wangapi wanachemsha? Let them be 200%, cha msingi Mahakama ya Kadhi isianzishwe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.