Well Said! Minazani ukishalijua Tatizo ni rahisi kulitatua! Tatizo ni akina mwiguli hawashauriki na siasa zao za mitaroni! Coz ndio zinawaweka mjini! Chukueni maamuzi sahihi kbla hamjachelewa!
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
Minazani kue na option yakumblock mtu anaepost matango pori maana naona kunawatu wanashindwa kuutumia ipasavyo uhuru wao wakuongea!.. wanakalia kuubiri udini na uchochezi..vitu ambavyo havina tija..minazani wote humu tunaakiri timamu( it's a home for great thinkers) tusitishane na siasa za maji...
Kagasheki alikua wapi siku zote kumuanika Diwali/MEYA. Adi alipokua tishio kimaslai.. Waache danganya toto tushawazoea hata bashe nae walisemaga sio raia!...
kweli kabisa hoja ya udini apo aijakaa vizuri!..mtafutie tuhuma nyingine kama kuna ulazima wa wewe kumnanga JK..bora hata ungemuita holiday maker!!:rain:
wananchi wengi wangependa kuona mtu akitiwa kikaangani juu ya swala la dowans pasipo kuzingatia if rostam goes down many society highlly influencial people (vigogo) will follow!..so kuna nguvu nyingi sn inayotumiwa na watu hao wenye pesa kufichia makucha swahiba wao uyo!..tusitumie nguvu nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.