isack newton alisema "we are where we r by standing on the shoulders of the giants" nakubali kwamba haya ninayoandika nimeyapata kutoka makala tofauti tofauti na nimechanganya na mawazo yangu. Jamii yoyote ambayo mwanaume amekosa control na ivyo nyingi ya familia kuwa zinaongozwa na wanawake uwa...
Nadhani huyu dada anapata tatizo la mvuto wake kupofusha ujumbe wake katika inili japo naamini ana nia njema. Kama una tatizo la tamaa bora uishie kusikiliza na udio tu usiangaike na video.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.