Habari wanajf, ninaomba ushauri wenu kuhusu gari hii, nimeipenda lakini ningependa kujua ubora, utumiaji mafuta na upatikanaji wa spare kwa gari hii. Naomba mwenye uzoefu nayo atoe ushauri.
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
hivi ikitokea mtoto wako mdogo, lets say 4yrs ameingia chumbani kwako gafla wakati mkicheza mchezo wa baba na mama, anashituka na kuondoka. lakini later anaukuuliza baba ulikua unafanya nn ana mama? utaexplain vipi?:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
wewe ni mwanamke/mwanaume una rafiki ambae mlipatana sana na kuheshimiana. wewe umeoa/kuolewa nae pia ana mwenzi wake, sasa inatokea kwenye ndoa yako kuna migogoro mingi inayopelekea hata kuiona ndoa chungu. rafiki yako huyu humshirikisha katika maamuzi shida zake na ni mshauri wako mzuri...
wapendwa naomba mnisaidie kwa hili, kwanini wanaume ni waoga sana kuingia kwenye ndoa? yani hata kama mmeishi pamoja ikija kwenye suala la ndoa ni kupiga kalenda tu, ni kwanini inakua hivyo? je anakua hana mapenzi na mwenzi wake lakini anaendelea kudanganya kuwa anampenda?
Mwanzoni walipendana sana na kupeana ahadi za ndoa, ikaja tokea dada akapata ujauzito ambao mwanaume alishauri atoe na dada alikataa, akamwacha na kumwambia si mimba yake maana yeye alishakuwa diagnosed kuwa hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.
Mwanaume hakuwahi kuokea mpaka mtoto alipozaliwa...
Naomba kwa wenyeji wa mkoa huu wanisaidie, ninatafuta english medium primary school yenye mazingira mazuri ya boarding, ninawahamishia watoto wangu moshi na ningependa wawe boarding kwa sababu nitahitaji kusafiri mara kwa mara. wako std2 na std 1.
Naombeni msaada wenu, hivi majuzi nimetumia dawa ya malaria aina ya Malafin.
Ndio dawa niliyozoea kutumia, baada tu ya kumeza ile dawa kama dk3 au 5 hivi nikaanza kuhisi kuwashwa mdomo na ukavimba sana kwa kuwa ilikua usiku niliamua kumuuliza rafiki yangu doctor kwa simu akaniambia huenda una...
Nini hasa kina sababisha homa za usiku kwa watoto wadogo (infants). homa hizi huanza muda wa jioni sa1 na mara nyingi inakuwa kati ya 38C - 38.4C degrees lakini ifikapo asubuhi mtoto anakua normal but very tired! hospital wanasema ni meno yanaota lakini naona inachukua muda mrefu nearly two...
Naomba yeyote anaeweza kupost vacancy suitable for people with disabilities (Deaf na wheelchair users) anisaidie. Nafanya kazi na wahitaji wengi ambao wangenufaika na information hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.