Mbunge wa kigoma kaskazini kupitia chadema mheshimiwa Zitto kabwe amesema kwamba serikali tatu zitaleta uwazi zaidi kwani hata sasa serikali ziliizopo ni serikali tatu kwani kuna wizara nyingi tu kama kilimo na tamisemi ambazo ni za Tanganyika pekee.
Zitto anasema serikali 2 hazina tija kwa...
Katika mdahalo wa Muungano ulioandaliwa na UDASA chuo kikuu cha Dar es salaam ,Dk kitila mkumbo amesema kwamba nchi hii watawala wa ccm hawana sifa wala tabia ya kusikiliza maoni ambayo siyo matakawa ya Ccm.
Anasema kwamba kwenye tume ya Nyalali kuingia kwenye vyama vingi maamuzi yalikuwa...
Mzirai ni mnafiki wala si mpinzani.Amekubali kuwa mtumwa na mfuasi wa watawala yaani ccm.Huwezi kuhubiri serikali 2 zilizoboreshwa wimbo wa maccm ili yaendelee kutawala nchi hii.
Hongereni sana ukawa.Mapambano yaendelee tu posho hazina maana sana kuzichukua kama mnakwenda kuandaa katiba ya...
Mbunge wa ileje mkoa wa mbeya ( Ccm) ametuchosha wananchi wa jimbo na wilaya ya ileje.
Hukuchaguliwa kugawa nguo,kugawa sahani misibani, kugawa pesa makanisani nk..Ulichguliwa kupigania Ileje ipate maji,barabara ya lami,Madawa hospitalini,vitabu mashuleni,masoko ya mazao nk
Kugawa sahani...
Wapenda mabadiliko wote Tanzania, chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) ni chama pekee kilichobeba matumaini na matarajio makubwa ya watanzania ili kuleta ukombozi wa pili wa taifa hili.
Hata hivyo CHADEMA kama chama kinachopendwa na kutegemewa kimpelipuuza kabisa jimbo la ileje kwa...
SAUTI HII YA WANAILEJE inalia toka nyikani mbele ya CHADEMA.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kimezindua operation maarufu kama "OPERATION M4C PAMOJA DAIMA" inayofanyika nchi nzima.
Katika Mikoa ya Nyanda za juu kusini hususani Kitovu cha mabadiliko Mkoa wa Mbeya operation hiyo...
Wilaya Ya Ileje mkoa wa mbeya na wilaya ya CHITIPA nchini Malawi zimeimarisha uhusiano na ushirikiano mzuri ili kudumisha urafiki na ujirani mwema.
Pamoja na kwamba Tamzania na Malawi zipo katika Mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa, wilaya hizo zimekubaliana kuweka kando tofauti hizo kwa...
Kheri ya mwaka mpya mwaka 2014.
Ninaomba kupendekeza safu mpya ya viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika uchaguzi mkuu ndani ya Chama.
Napendekeza wafuatao na nyadhifa zao
1/PROFESSOR SAFARI-Napendekeza Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimchague...
Wananchi wa jimbo/wilaya ya ILEJE tunasubiria ahadi ya mbunge wa Mbozi Magharibi mh DAVID Ernest Silinde (CHADEMA) kuungana na makamanda wa Ileje kufungua matawi mapya wilaya va Ileje kama ulivyo ahidi tarehe 22/8/2013 mbele ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa mheshimiwa Freeman Mbowe na wananchi...
CHama cha mapinduzi yaani ccm ni chama kinacholiangamiza taifa letu. Chama hiki tawala kimebeba majangili, wezi na mafisadi wasio na huruma na taifa letu.
Chama hiki ndicho kilichounda serikali inayoamurisha polisi kupiga raia wake na hata kuua na mifano ni Mingi.
Hujuma na mabavu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.