Wadau heshima kwenu,
Nitangulize kwa kusema kuwa mimi ni mdau wa ukawa na namini kuwa kwa tafiti zote zilizofanyika kabla ya uchaguzi huu kwa maana ya namba zinadhihirisha kuwa kwa ujio wa Mhe. Lowassa ushindi kwa ukawa si jambo la kuwa na mashaka kutokana na namba zilizowahi kutolewa.
Maswali...
Katika hali ambayo haikutarajiwa wanawake ambao siku zote wamekuwa wakipokea kanga na kofia kipindi hiki wamegoma na kusema hawatachukua kanga wala kofia na kuamua kuanza kuvaa mavazi yenye rangi za chadema,scarf za chadema na wamenda mbali hata rangi za kupaka kucha zao pia ni rangi ya chadema...
Heshima Kwenu wote!
Kwa imani niliyonayo humu ndiko kuna waungwana na wazalendo wengi zaidi,
Katika kupitia gazeti la mwananchi nimekutana na habari hii hapa chini na ikanigusa sana nikafikiria niwashirikishe na wenzangu pia na sina hakika kama kuna baadhi yetu ameileta huku na kama imefika...
Wabunge wamechachama kwa kamati ya bunge kuzuiwa na mwekezaji kuingia katika Hoteli yake.
1.Nini kinampa kiburi mwekezaji kuwa na Jeuri kama hii?
2.Je kuna mapungufu kwenye mkataba aliowekeana na serikali yetu?
3. Ama ni viongozi wetu kuwa karibu na wawekezaji karibu kuliko kawaida...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mzee Msekwa akiwa kwenye mjadala uliendeshwa na TBC1 kuhusu swala la Mwafaka wa Zanziba.
Mzee Msekwa alijikuta ukweli juu ya yaliotokea Butiama ukitoka wenyewe na kama kawaida ya ukweli huwa unatabia ya kutoka wenyewe ukizuiwa kwa mda mrefu.
''Baada ya kubanwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.