Sasa anaomba msaada gani? khali si kaiona? mwambie atambue hii ni Africa Si uliona SEMENYA alivyopigwa vijembe?angekuwa Ulaya Au US angeweza akajipongeza lakini kwa kuwa yupo Bongo plz mpe pole
kwani ulitarajia aseme nini sasa??? nyie si wamoja na huyo Ayatollah???kila siku ananyonga watu yeye hajioni, wale walioandamana mbona walinjongwa mbaina hakuwatetea????
kama wewe hujijui???????anza kutoa neno? jamaa kwakuwa muumini mbona humtetei??? au jeshi limetumwa na wamarekani, nafurahiya saana uwepo wako huku jamvini
Mbona anachokiomba hatukioni???????? mie nawalaumu saaaana wasomi waliomzunguka kwani hamumshauri hata kidogo, hivi kabla hajaondoka mlimjulisha kuna wapiga kura wake wamechinjwa huko MOSOMA?????????
Wewe muibie au mhujumu muajiri wako uangalie kama atakusamehe??? waliomchagua wameibiwa sasa wasilalamike? wasidai haki yao? hatukumtuma kuiba, kulinda mafisadi; kufanya biashara kwenye ile nyumba takatifu aka IKULU,
kama wewe ni muumini nenda kanisani au msikitini then toa sadaka baadae rudi...
naona umeshaligeuza hili jukwaa sehemu ya kusambaza chuki zako, it seams like you are a big looser,kama hao babu zako walitimuliwa si uwafuate huko Oman, waache wazanzibari wandelee kudumisha mapinduzi yao,
nyie hakuna lolote mnalolifanya,huo umaskini utaondolewa kwa maoni?????????????Mfumo bomu? hata mkiandika maproposal mazuri bila kubadilisha mfumu hakuna kitu, nyie endeleeni kupiga domo ili walau mwisho wa mwezi mpate cha kuweka kinjwani, hakuna kingine, mkapa aalimleta yule prof SATO mbona...
tunajivunia kasi yetu ya kutaka utajiri, kila mtu kuanzia huko juuuuuu mpaka kwa mwenyekiti wa mtaa tunataka kuwa mabilionea kama R al azzz, lowasa, kingunge, mramba, Mkapa nk
anakuhusu nini kwani umeme kwako umekatika????? tuko very busy na mambo maandalizi ya uchaguzi na budget bado haijakaa sawa,
thanks 4 concern nakumbuka saana
wako
???????????????????
sisi wapiga kura ambao hatuna elimu, njaa, tunajua hujazomewa hata kidogo mheshimiwa Rais Mstaafu, ila tulisikiwa huko Da es salaam vijana pale Kawe walikushangilia saaaaaana ulipokuwa unapita, eti ni kweli Mzee??Tumefarijika sana kwa kutuletea chenji walau kidogo ya keki yetu ya taifa ambayo...
Na ulaaniwe kabisa, ushindwe na ulegee, huyo shetani anayekutuma nenda kwa watumishi wa Mungu wakamkemee,,,,, watu kama nyie ndo mnaifanya dunia inaadhibiwa kila siku na majangwa,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.