wadau niko kwenu hapa najaribu kufikiri kuanza UFUGAJI Sasa nawaza kuhusu UFUGAJI WA NGURUWE au kuku SASO naombeni ushauri wenu nataka kutengeneza pesa za ada mwakani.
NIKO MKOANI NA MTAJI WANGU NI LAKI TANO
si heri yako Mimi nisipokunywa kvant Kwa usiku nateseka na mwisho hata saa Saba usiku nitatoka nisikilizie penye kelele za bar naenda chukua naipiga najisikia Raha sana
ILA NATAKA KUACHA NASHINDWA
Mtu mmoja alikuwa anaoga basi kichaa akapita na kuzichukua nguo zake naye mtu yule akatoka na kumkimbiza huku akiwa uchi .je wadhani wapita njia watasemaje
Ila umeme ninao na ni wa uhakika
Kwa kweli walinichanganya sana awali waliniambia 500,000 BADAYE nilipoongea na makao makuu wakaniambia 780,000 leo wananiambia 890,000 kumbuka zola yao inawasha taa nne haiwashi tv wala redio NB NINA UMEME
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.