Habari ya asubuhi wadau, natumaini mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kila siku.
kwa yeyote mwenye information wapi naweza kupata mashine na vifaa vinavyotumika katika screen printing business hapa Dar naomba anijuze. vifaa/materials kama squegees, mesh, colors nk.
asante
Habari ya asubuhi wadau, natumaini mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kila siku.
kwa yeyote mwenye information wapi naweza kupata mashine na vifaa vinavyotumika katika screen printing business hapa Dar naomba anijuze. vifaa/materials kama squegees, mesh, colors nk.
natanguliza shukrani na...
Habari za asubuhi wadau,
nahitaji msaada wenu tafadhali, kwa yeyote anayeweza kunipa information juu ya hii biashara ya kuprint majina kwenye jerseys nitashukuru sana. nafikiria kuanzisha hii kitu huku mkoani, nina baadhi ya vifaa kama heat press nk. ningependa kujua vifaa gani vingine...
Mkuu please be so kind kuntumia huo mchanganuo na maelezo yoyote ya ziada kwenda arnoldmsoffe@gmail.com
ntakutafuta soon
big up sana kwa haya mapinduzi.
Amani kwenu wadau!..its a lovly friday pande hizi, hop mko poa. ktk pita pita zangu nmekutana na haka kawimbo (Tamia - give me you), kana ujumbe mzito,then nkawish katika maisha haya ya ujana ladies wangekua na mtazamo huo na sisi wakaka tungekua tunaweza kutimiza kile ambacho huu wimbo...
embu tuifanye vice versa alaf tuanzie hapo!..kama mm mpenz wangu anataka tu-break kwa sababu zozote zile alizonazo ningemuona mstaarabu sana kama akiniambia ukweli, tena face to face!.ofcoz kama hanifeel tena siwez kumng'ang'ania na itakua pointless kuendelea naye kama mapenzi hayapo!..so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.