Kwa heshim , wana jukwaa wa jf ,hivi kama umemaliza Form six miaka minne iliyopita na sasa umeapply chuo Kwa zile Course ambazo ni priority kama engineer, education je Unaweza! kupewa mkopo na bord?Naomba Mwenye uelewa na hili jamaan atufafanulie
Jamani naombeni mnijulishe Kwa Mwenye uelewa nime lipia bodi ya mikopo ya elimu ya ju sh.30000 Kwa mpesa, wamenitumia sms kwamba pesa imesha lipwa lakini Kila niki login inakataa nashindwa kujaza Form za mkopo kabisa system inasema' your credentials you entered do not match with that of the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.