Search results

  1. laussane

    Nilishangazwa sana na huyu mwanamke

    Hahahaha Mkuu msamehe bure na weka Avatar ya kiume kupunguza usumbufu huu
  2. laussane

    Nsaidieni jinsi ya kumwacha huyu

    Hahahaha Atajiua Mkuu, ila duh kakosea sana mleta mada, ana sababu zote za kutomuhitaji kwanini alimkaribisha ndani kwake? matatizo mengine tunajitakiaga
  3. laussane

    Hii ni usafi au ni mbwembwe

    Huo ugonjwa
  4. laussane

    Waraka kwako Abiria wangu (Binti) ninaekupaga Lifti asubuhi!!

    Kwa yote hayo bado unampa lift? basi una lako jambo kwanini usibadilishe time ya kuondoka akute ushaondoka? atakupigia urudi kumfata? mnayataka wenyewe bwana, mume wa rafiki yangu hivohivo alikuwa anampa lift jirani, jirani akawataarifu na wenzie kama kuna lift huku, asubuhi moja kawakuta...
  5. laussane

    I decide to mary her for the sake of my kid

    Mji upi??? tusijidanganye jamani huku ni kupotoshana,
  6. laussane

    I decide to mary her for the sake of my kid

    Kwa sifa hizo zote usipomuoa utarudi kumtafuta wakati hana nafasi yako tena, wanawake wa upendo huo tuko wachache sana, fanya hima muoe bila kujiuliza, kila la kheri naomba card ya mchango tafadhali usinisahau
  7. laussane

    Njemba na kivulana chumbani Wakutwa Chumbani

    Yaani hataree kabisa, walaaniwe mabazazi wa aina hii
  8. laussane

    Njemba na kivulana chumbani Wakutwa Chumbani

    Tena inawezekana mume wa mtu huyu uwiii sijui wife unakimbilia wapi balaa hili
  9. laussane

    Njemba na kivulana chumbani Wakutwa Chumbani

    Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Zeb akiwa amepigw pingu baada ya kunaswa akiwa na mwanafunzi wa kiume gesti Maeneo ya Manzese, wahudumu walisikia miguno wakamtilia shaka kuwa kinachoendelea ndani si cha kawaida
  10. laussane

    Dawa ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa

    Haya yote yana mlengwa vp umemfahamisha lakini? maana kwa kupitia jukwaa hili message inaweza isimfikie kabisa bado akaendelea kuvaa za kutoboka
  11. laussane

    Naomba ninunulie simu yenye WHATSUP

    Benteke piga ua una range 22-25 yrs, isije kuwa mama anatumia ya tochi huyo unamnunulia ya whatsup
  12. laussane

    Ni Kipi Kivumiliwe Kwenye Mahusiano?

    Naunga mkono hoja, The boss rudia hali ile ilikuwa inakupendeza sana na inafanana na Avatar
  13. laussane

    Ni Kipi Kivumiliwe Kwenye Mahusiano?

    Hivo tukiwa na watoto tukiachwa ndio basi teeeenaaa eeehhh? pole ya sisi jamani tujenge nyumba zetu japo wakati mwingine ata uweke zege wabomoaji wengi
  14. laussane

    She need it back, am confused

    mkuu kama karudi huko huyo yamemshinda hakufai chondechonde my brother usimfikirie na usimpe nafasi move on, muogope sana mwanamke aloonja pengine na kurudi kwako, comparison zitakuwa nyingi kila kitu atataka ku compare take my note please
  15. laussane

    She need it back, am confused

    [/COLOR] Ijumaa njema wakuu hahahahahahaha :A S-confused1:
  16. laussane

    She need it back, am confused

    Tukumbushane japo kwa sentensi moja yule wa mwanzo alienda wapi na ilikuwa vp? kama aliondoka kwa wema tu basi bora zimwi likujualo, lakini kama alienda kwa mwanaume mwingine yamemshinda anarudi kwako hakufai ata kwa second, huu ushauri tu akili kumkichwa
  17. laussane

    Vipi sasa kuhusu ile laki 3

    hahahahah sasa mkuu ukifanya kazi kutwa mzima utaondoka na stress nyumbani,kazi na dawa sometime unapumzisha akili kidogo
  18. laussane

    Vipi sasa kuhusu ile laki 3

    Hahahaha ya kweli haya?
Back
Top Bottom